Zitto Kabwe mwenyekiti mpya kamati ya PAC

Zitto Kabwe mwenyekiti mpya kamati ya PAC

.Bravos Zitto!
Utendaji wako Makini POAC ndiyo chachu hasa ya Ushindi wako PAC.
.Kwa Moto huo huo, zidisha Mapambano ya kutetea Maslahi ya Taifa.
 
Hongera Mh. Zitto, Nafurahi zaidi coz Limetoka Jembe, limeingia Jembe jingine, hope mchaka mchaka, utaendelea. GOD bless TZ!!!!!!!!!!
 
Mhe Zitto Kabwe ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa kumtafuta mwenyekiti wa kamati ya hesabu za Serikali (PAC) baada ya kumbwaga Mhe. Cheyo kwa kupata kura 13 kati ya 17.

Zitto awali alikuwa ni mwenyekiti wa POAC, kamati iliyovunjwa siku chache zilizopita na kuunganishwa na kamati ya PAC.

Binafsi nampongeza Zitto na kumtakia utendaji mzuri kwenye majukumu yake hayo mapya. Taifa linamtegemea.

CHADEMA wameanza na Mungu na watamaliza na Mungu hongera mheshimiwa.
 
Hongera sana Mhe. Zitto. Inatupa matumaini tukiona kwamba hata wajumbe wa kamati yako wana imani na uwezo wako wa kuongoza. Kama binaadamu mwingine unayo machache ya kujirekebisha. Usiwaangushe waTanzania.
 
Hapo mawiziri na wakuu wa idara wezi matumbo joto...hongera sana mh.naamini utawatransform hawa wajumbe wawe active katika kusimamia na kulinda mali zetu kama ilivyokuwa katika mashirika ya umma.
 
Hongera Zito, tunataraijia utafanya kazi, sio kuleta mbwembwe
 
  • Public Accounts Committee (PAC)
This Committee consists of not less than eight and not more than twelve Members appointed by the Speaker.
Kwa mtindo huu tunarudisha wizi kwenye mashirika yetu ya umma kule kule ulipokuwa miaka ya 90 na early 2000s..sababu ripoti za CAG zitapelekwa wizarani na state house na kuwekwa kwenye makabati tu bila kufunuliwa wala kusomwa...We are being played!!

Kama nilielewa utetezi wa spika vizuri pindi alipoivunja POAC natarajia majukumu ya PAC yatasukwa upya ili kuruhusu mashirika ya umma nayo yaangaliwe.
Hata ukiangalia composition inapaswa kufanyiwa marekebisho, hivi sasa wako wajumbe 18
 
Big-up Zitto, Hiyo yote inatokana na kutambulika kwako kuwa na uwezo wa kusoma, kuchambua na kuchanganua issues kimakini zaidi. Wabunge wengine muwe mnajifunza kutoka kwa huyo dogo kwa jinsi anavyo tumia muda wake jijenga kimaarifa
 
acha upuuzi kwenye mambo ya msingi ulitaka achaguliwe ******* yako

Haya M 23, Ni mawazo yangu tu. Sina nia na ubaya ila unaonekana unapenda sana kutukana. kwaresma hii jirekebishe hata kidogo tu.
 
>Hongera Zzk.
>Onesha utofauti,uaminifu,uzalendo,utash wa kipekee.umhimu wako ktk taifa hili,n.k
 
Anyway kazi itafanyika je Serikali sikivu ya CCM italeta mabadiliko yenye tija kwa mwananchi?!Mambo mengi mabaya yameibuliwa lakini je yameleta mabadiliko?! Mambilioni ya Uswiz naona imekuwa historia pia......
 
Hiyo PAC majukumu yake ni yepi.? ufafanuzi tafadhali.!!

PAC itapitia hesabu za mashirika ya umma na za serikali kuu idawa. Ningekuwa Spika ningeunganisha Serikali za Mitaa na Serikali kuu maana kuna mwingiliano zaidi kuliko mashirika ya umma na serikali kuu
 
Last edited by a moderator:
Maelekezo toka CCM partycocus! Mana wangemwaga jamaa wananchi tungeichukia zaidi CCM coz tungeamini CHADEMA kaonewa! HONGERA Z. Z. Kabwe.
wanaJF, huyu malalika ni mmoja kati ya wale brain damages wa CDM.....always thinking negatively wen it comes to maendeleo
 
Back
Top Bottom