Mkuu
mwitaMaranya maadam umesema unaangalia kwa jicho la 3 naomba nikuulize...
Slaa alipokuwa mwenyekiti wa LAAC ni CCM waliagizwa wampigie kura?
Unazungumzia Mnyika na Lema kuhamishwa kamati ina maana haujaona kwamba Mbowe kaamishwa kamati, Silinde kahamishwa kamati? Zitto kamati yake imevunjwa achilia mbali kuhamishwa.
Mbona Sugu kabaki kamati yake ile ile na hatusemi?
Spika kampelecha mxh. Natse na Philip Mturano kamati ya. LAAC, bila haya wote wawili toka chama kimoja wamesimama kugombea nafasi ya uenyekiti, matokeo yake CUF wameshinda nafasi hiyo. Hii ni aibu kubwa kwa chama kufanya mambo kama haya. Mkae vhini kujitafakari badala ya kutafuta mchawi! Zitto ni jitihada zake zimemfanya ashinde, wakati nyie mnakaa kupiga majungu na kutafuta mchawi mwenzenu anapiga kazi