sasa hapo ndipo shida ilipo, na ndipo haki ya maamuzi ya CC inapotokea,.
Halafu by the way, Kuna kitu niliki notice kwenye thread moja wapo ya zitto akijitetea akisema anazushiwa mambo ya kutoa rushwa kwenye uchaguzi ambao yeye alikua anamuunga mkono kafilila ambaye kwa maneno ya zitto mwenywe anasema wazee hawakuwa wanataka ashinde, walikua na mtu wao- wenje. Sasa ninachotaka ukione hapa ni hiki, zitto anasema wanamzushia yeye kama vile ambavyo yeye zitto na wenzake walivyo TUMIWA kumzushia Chacha Wangwe wakati wa uhai wake, Anasema, anamshukuru Mungu alimuomba radhi Marehemu Chacha kabla na baada ya kifo chake siku ya postmortem.
Hii inaniambia kwamba, zitto anafahamu wanacho mfanyia., sasa sitaki kwenda huko sana kwa sababu hayo nayo sina hakika nayo, ila ninachofahamu nikwamba kwa hili la waraka wa ushindi zitto amekosea na CHADEMA kumuwajibisha ni sahihi kabisa as a matter of principle!