Ritz baada ya kuishiwa hoja za kupost sasa umeanza kupiga ramli.
Sisi ni wacha Mungu hatuogopi wala kutishwa na ramli za waganga njaa wa ccm.
Mkuu Mwita umenikosha hizi ni Ramli kama za Sheikh Yahya.Amechemsha..Mkuu nasikia Jumamosi kuna M4C Mzambarauni na Mnyika ataunguruma...
Last edited by a moderator: