Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
lema alitoa kauli humu jf ya kumkashifu kafulila leo lema anategemea posho za M4C ili aishi.kafulila ni mbunge kama kawaida!mambo ya siasa.
.
Kwa hiyo unasema alichokuwa analilia katika kikao cha nec ya Nccr ni ubunge? Mbona alie basi wakati ubunge anao? Au ulionekana kwa namna fulani upo hatarini kupotea?
Mh Zitto hayupo ndani ya chama chake kama mnavyopropagate. Mbona wote mnaomtumia Zitto kama fimbo yenu ya kuibeep Chadema ni magamba ya nyinyiem na baazi ya vilaza wa Cuf waliotumiwa na Jk katika chuki cha kidini 2010?
Mh Zitto angekuwa na akili ndogo ya ya kushikiwa kama ninyi angeliwaamini kama pia mlivyo mwingiza mkenge marehemu Malima kwa kumjaza utumbo kuwa angeliweza kuichukua nchi kwa mtaji wa kidini.
.