Mfano kuntu huuCCM ina tofauti gani na Israel dhidi ya Palestine?
Mfano kuntu huuCCM ina tofauti gani na Israel dhidi ya Palestine?
Dah unamkaripia Kama vile anatumia MB za kuazimaUnaandika utoto gani hapa jukwaani ww dogo, yaani umejiunga juzi hapa jukwaani ili uje uandike ujinga humu ndani? Pumbavu kabisa.
Mmh! Kama ni hizi Nissan Patrol zenye "model" ya zamani, nyingi zikiwa na rangi nyeupe basi utambue ya kwamba watu kutoka katika kitengo kile nyeti wameshirikishwa pia katika ufedhuli huo.View attachment 1787238
Nissan za buzaMbona sioni Nissan unazozisema hapo...!
Lidikiteta lenu limeshaozaInasadikiwa kuwa na kura zilizokwishapigwa! Kwahiyo unataka na sisi tusadiki?! Upinzani wa Nchi hii una siasa za kijinga sana!
Wewe itakuwa la sita C . Ina maana huwajui CCM? Mawazo aliuwawa umbali kiasi gani kutoka kituo Cha polisi?CCM wote Ni majambaziIla CCM kwa ukongwe wake ni wa kutembea na mapanga kweli? Hebu wabadilike kwani kumpa kila aliye kwenye gari revolver kuna ugumu gani?
Ujue ukiwa na revolver unaweza mwambia mtu wewe usalama wa taifa na akatii sasa ukiwa na panga utasema wewe ni mganga unaenda kuchimba dawa au?
Si mlisema Magufuli anavuruga Demokrasia,,,haya ongeeni sasa...
CCM walimdanganya kuwa akishiriki uchaguzi ataachiwa hizo nafasi ili aweze kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeniWenye akili nyingi walimwonya huyu Fala kuwa "hawa CCM wamelaaniwa Kwenye wizi wa Kura" lkn alikaza shingo.
Chadema sio wajinga mpaka wakatae kushiriki uchaguzi haramu
Kwahiyo majambazi ndiyo wanatumia mapanga?Wewe itakuwa la sita C . Ina maana huwajui CCM? Mawazo aliuwawa umbali kiasi gani kutoka kituo Cha polisi?CCM wote Ni majambazi
Inahusiana nini na huo Uzi?Nendeni mkafagie kaburi la meko
Mbona hamna shukrani nyie watu
Hahahaha 😂😂😂 jamaa ni wahuni sanaCCM walimdanganya kuwa akishiriki uchaguzi ataachiwa hizo nafasi ili aweze kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni
Inasadikiwa kuwa na kura zilizokwishapigwa! Kwahiyo unataka na sisi tusadiki?! Upinzani wa Nchi hii una siasa za kijinga sana!
Pole sana kijana usilolijuaHuyo naye ni mmakonde mwenzako wa hapo kijijini kwenu Nanguruwe!
Tatizo la Zitto ni ulafi wa madaraka ndiyo kimacho mponza.Shetani hana rafiki , huyu tulishamuonya mapema sana lakini akapuuza , atavuna alichopanda
Kwa hili hatuna cha kumsaidia maana yupo na ndugu zake ccm.Analilia nini? apambane na hali yake huko
Zitto tumwache apambane na ndugu zake ccm.
Zitto tumwache apambane na ndugu zake ccm.
Zitto alishasema waisiojulikana wakimuibukia wanakutana na ziwaKiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA...