Kanye 360
Senior Member
- Nov 8, 2017
- 163
- 235
Tupe ukweli kakaHili ndio lingekuwa jibu sahihi tungeshaelezwa tangu siku nyingi sana maana ilikuwa rahisi sana kwa serikali kueleza hili.
Hapa tunadanganywa tu.Ni mwendo wa kuhamisha magoli!
Tupe ukweli kakaHili ndio lingekuwa jibu sahihi tungeshaelezwa tangu siku nyingi sana maana ilikuwa rahisi sana kwa serikali kueleza hili.
Hapa tunadanganywa tu.Ni mwendo wa kuhamisha magoli!
Ipo thread tuliowahi kujadili hili labda kama wewe ndio mhamisha magoliHili ndio lingekuwa jibu sahihi tungeshaelezwa tangu siku nyingi sana maana ilikuwa rahisi sana kwa serikali kueleza hili.
Hapa tunadanganywa tu.Ni mwendo wa kuhamisha magoli!
Kuwa makini mkuu, Basata watafungia hii nyimbo yako! Unakumbuka "Bongo bahati mbaya"Najuta kuzaliwa Tanzania. Bora ningezaliwa panya Ulaya
Kulikoni uwe Panya si ni bora ujiue tu mkuu, shida yote ya nini??Najuta kuzaliwa Tanzania. Bora ningezaliwa panya Ulaya
Swali zuriWe ni me au ke??
Hahahajaha huyo sexless ana matatizoKulikoni uwe Panya si ni bora ujiue tu mkuu, shida yote ya nini??
Wewe unakula mbaazi? Kama unakula, unanunua kiasi gani cha mbaazi kwa mwezi.Nchi ina Vituko hii!hivi wanajua sababu Kwann mbaazi ilizuiliwa kuingia india....angesema basi
Wakulima wana mbaazi mpaka zinawaozea
Subirini zamu ya choroko na dengu sasa....
Mtakuja kujibu blah blah hizo hizo
Ova
Duh, alikuwepo bungeni India? Au sijakuelewe!!Kumbe bungeni kuna vichwa zaidi ya waropokaji kina zitto wasiofanya research..mama kumbe alikuwepo hadi bungeni india siku ya mjadala wa mbaazi..
Kina zito wanataka mbaazi ziuzwe tu nje kisha badae wanarudi wanasema serikali itangaze kuna njaa..kweli hawa wanasiasa uchwara kulikuwa na umuhimu sana wa kuwadhibiti kama magufuli alivyofanya..maana wanawapa sumu sana watanzania
Unachekesha sana.....Ulitaka mkulima a export mwenyewe hebu fikirisha ubongo wakoWewe unakula mbaazi? Kama unakula, unanunua kiasi gani cha mbaazi kwa mwezi.
Seriksli Serikali, Serikali kila siku ndiyo kilio chenu! Kwani Serikali ni nani? Mtu analima zao hajui soko, du!
HUYU MAMA KATOA MAJIBU MEPESI SNA.UTAFIKIRI KAWAJIBU WANAFUNZ WA DRS LA PILI.NA WW MTOA MADA UNAKUBALIANA NA HUO UJINGA AU WW NDO HAO WANAFNZ WA DRS LA 2.SUALA LA MBAAZI NI SUALA LA DIPLOMASIA.MAAGENT WA MBAAZ KUNA KITU WAMEFANYIWA NDO MAANA WAKASUSA.
Ubongo wangu ndio huo, ambao unaamini soko la ndani ndilo soko kuu, kwa kuwa mbaazi ni zao la chakula kwanza.Unachekesha sana.....Ulitaka mkulima a export mwenyewe hebu fikirisha ubongo wako
Ova
Soko la ndani lingekuwa imara Wakulima wasidodewa na mbaazi huko shambani We unafikiri mkulima anapenda kuozeewa na mbaaziUbongo wangu ndio huo, ambao unaamini soko la ndani ndilo soko kuu, kwa kuwa mbaazi ni zao la chakula kwanza.
Kama mbaazi siyo chakula chako hujamsaidia mkulimaSoko la ndani lingekuwa imara Wakulima wasidodewa na mbaazi huko shambani We unafikiri mkulima anapenda kuozeewa na mbaazi
Ova
Mtakula mbaazi mpaka mtaharishaKama mbaazi siyo chakula chako hujamsaidia mkulima
Kweli, hata kuzaliwa binadamu Tz ukiwa sexless ni tabu sana,sheria ngumu. Ulaya sheria zingekupwa pumnziko kidogo.Najuta kuzaliwa Tanzania. Bora ningezaliwa panya Ulaya