Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe ambaye alikuwa akiilaumu serikali kuhusu mbaazi kushuka bei, amepewa somo na wa CCM kuhusu suala hilo
Mbunge huyo amesema kushuka kwa mbaazi haifai kulaumiwa serikali kwa kuwa India wenyewe ndio waliamua nchi yao isiingize mbaazi kutoka nchi nyingine kwa kuwa wakulima wa mbaazi wa nchi hiyo wanakosa soko, na ndipo ikapiga marufuku mbaazi kutoka nchi za nje na Malawi na Tanzania kuathirika
Mbunge huyo amesema kushuka kwa mbaazi haifai kulaumiwa serikali kwa kuwa India wenyewe ndio waliamua nchi yao isiingize mbaazi kutoka nchi nyingine kwa kuwa wakulima wa mbaazi wa nchi hiyo wanakosa soko, na ndipo ikapiga marufuku mbaazi kutoka nchi za nje na Malawi na Tanzania kuathirika