Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,398
- 1,264
Poleni kwa msiba wa Benard Membe na William Malchela.
Najiuliza tu na kuwauliza tu kwamba kwanini Zitto Kabwe akitajwa na kusifiwa kwa jambo lolote hawa ndugu wa CHADEMA hukosa raha?
Ni kwa sababu;
(a) Walitegemea atakufa na kupotea kisiasa baada ya njama yao ya kumtimua CHADEMA?
(b) Wanaona wivu baada ya chama chake kuwa chenye nguvu nchini?
CHADEMA acheni wivu wa kupindukia, Zitto Kabwe ni lulu kwa taifa letu.
Najiuliza tu na kuwauliza tu kwamba kwanini Zitto Kabwe akitajwa na kusifiwa kwa jambo lolote hawa ndugu wa CHADEMA hukosa raha?
Ni kwa sababu;
(a) Walitegemea atakufa na kupotea kisiasa baada ya njama yao ya kumtimua CHADEMA?
(b) Wanaona wivu baada ya chama chake kuwa chenye nguvu nchini?
CHADEMA acheni wivu wa kupindukia, Zitto Kabwe ni lulu kwa taifa letu.