MATHIAS KABYEMERA
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,793
- 573
kil akukicha ni ufisad tu. Itafika wakati hata bajeti za nyumbani zichunguzwe na CAG maana hata dada wa kaz ukimtuma nazi ya 700 ananunua ya 500. Du! lini tutashinda katika hili?
Mumshupalie na makamba ang'oke sio tibaijuka na muhongo tu, hivi hili shirika linamtaji wa shs ngapi? lipate hasara ya bil 334.48 na bado linaendelea kutoa huduma, hii financhial statement ina walakini mkubwa.
Hivi sisi tunaweza nini jamani? ATCL, TRL, TTCL zote bure kabisa? Tatizo ni nini??
Sisi tunawaachia hawa ndio sababu
Shida siyo makampuni ya toka Nje Shida ni sisi Watanzania-Tabia hii ya kuwaacha watendaji kugeuza Taasisi ya Umma kama kamapuni zao binafsi matokeo yake ndiyo haya.
vipi mkongo wa taifa nao si uko ttcl au?
Mkuu nashukuru sana umelileta hili hapa leo maana Watanzania tuna akili ya kusahau sana sijui kwa sababu hatunywi mafuta ya samaki? Yaani kila kitu kina muda wake ukipita tu, ni historia ilopotea!PAC..... nawapongeza kutimiza wajibu wenu kuinusuru kampuni hii wa umma. lkn msiishie hapo, ubinafshishwaji wake ulikuwa ni wa wiziwizi tu chunguzeni hilo pia,hiyo aitel ikijulikana kama celtel chini ya mwenyekiti OMARI ISSA (mtu hatari sana) ni mali ya TTCL 100% lkjn ufisadi uliofanyika kuibabandua TTCL na kuwa kampuni mwenza na hapo ndipo ulipoanza uhuni wa kuifunga miguu TTCL isifanye lolote ,na ile simu 2000 ambayo mwenyekiti wake alikuwa mtoto wa Anna Mkapa , ambaye alimgawia mama yake mali kadha za TTCL nalo lichunguzwe pia. utiaji saini wake ambao ulikataliwa na mwenyekiti wa bodi wakati huo mzee LUHANGA BAADA YA KUKATA USHAULI WAKE AKAAMUA KUACHIA NGAZI, uchunguzwe pia, mhe Sumaye waziri mkuu wakati huo, Martin Lumbaka katibu mkuu ofisi ya rais, MHE Marck Mwandosya waziri wa mawasiliano wakati huo. Bw A Chenge (mzee wa dili kubwa) hawa woote wanahusika kuifikisha hapa kampuni hii, natamani tungelikuwa na sheria kama za China.
kil akukicha ni ufisad tu. Itafika wakati hata bajeti za nyumbani zichunguzwe na CAG maana hata dada wa kaz ukimtuma nazi ya 700 ananunua ya 500. Du! lini tutashinda katika hili?
Back to TTCL, pamoja na kwamba tunatakiwa kumlaumu sana Ben Mkapa na watu wake kwa uamuzi wake mbovu wa kuiua TTCL but management ya TTCL nayo inastahili lawama, wengi humu jamvini nadhani mtakua hamfahamu kua TTCL nayo ina simu za mkononi zinazo anzia na namba hi 073--, kwanini, sababu kwanza wala hutaona matangazo ya biashara either kwenye TV, Radio au magazetini, hilo moja lakini pia, hizo simu zao wanakulazimisha lazima uende ofisini kwao ukanunue line pamoja na hand set, kwenye hu ulimwengu wa kisasa ambao kila kitu kinafanywa na wakala kweli? Tena basi, line zao hazisomi kwenye simu zingine kama Nokia, Sumsang, Tecno n.k, ni lazima iwe Huewei tu, tena ile ulionunua kwao! Hu ni uzembe wa ajabu sana, naomba hili management waliangalie sana.
Ukipata muda au kama una mbunge yeyote wa CCM ambaye ni ndugu yako muulize kwa nini Freeman Mbowe akisimama Bungeni kuzungumza wabunge wote wa pande zote wananyamaza kimya hata kuchati na simu zao wanaacha na kumsikiliza yeye? Jee wanafurahishwa na sauti yake au kuna nini?
Majibu utakayo pata ndio utajua yule ni level ingine kabisa, na kama hutaelewa basi utakuwa huna tofauti na Lusinde wa Mtera. Na kama uko level ya Lusinde basi ni bahati mbaya kuwa member JF
Mkongo wa taifa ni mali ya serikali, sema TTCL amekabidhiwa kuusimamia, kuufanyia maboresho na matengenezo inapohitajika kwa niaba ya serikali.
Mkongo wa taifa ni moja ya biashara kubwa kwa kuwa kuna bandwidth kubwa inanunuliwa na nchi jirani kama uganda,Rwanda,Burundi,Zambia na Malawi, hivyo kama TTCL akikabidhiwa moja kwa moja hakika itakuani moja ya faida kubwa kwa kampuni hii ya umma.
Mdau nimekuuliza hapa kama serikali haifanyi biashara TANESCO inafanya nini?au wewe unapewa umeme wa ruzuku?sasa unaleta mambo ya utabiri hapa,Usiwe na papara. Serikali haifanyi biashara kwa mafanikio zaidi ya ufujaji mali kupita kiasi mashirika ya umma unadhani ni tanesco peke yake? Yako kibao yaliyokufa au umezaliwa tisini?....sorry for being behind. Tanesco will not last longer either...
Mkongo wa taifa ni mali ya serikali, sema TTCL amekabidhiwa kuusimamia, kuufanyia maboresho na matengenezo inapohitajika kwa niaba ya serikali.
Mkongo wa taifa ni moja ya biashara kubwa kwa kuwa kuna bandwidth kubwa inanunuliwa na nchi jirani kama uganda,Rwanda,Burundi,Zambia na Malawi, hivyo kama TTCL akikabidhiwa moja kwa moja hakika itakuani moja ya faida kubwa kwa kampuni hii ya umma.
Leo bungeni January Makamba ametamka wazi wazi kuwa wataunda kampuni nyingine ya kuusimamia na kuuendesha mkongo. Eti TTCL na yeye ni mteja wa mkongo kama ilivyo Tigo, voda na Airtel. Sasa TTCL kuu manage sio sawasawa. Ataunda kampuni independent kuu manage. Dah! Tanzania yetu inateketezwa na vijana wadogo kama January kwa kukosa uzalendo ili tu atimize matakwa yake ya kisiasa.
Ndio umegundua leo mkuu, hii nchi unaweza ukawa na mtaji wa laki 2 na ukapewa deal na baada ya mwezi ukawa unavuna bilion 1 kwa mwezikweli hii nchi shamba la bibi
Leo bungeni January Makamba ametamka wazi wazi kuwa wataunda kampuni nyingine ya kuusimamia na kuuendesha mkongo. Eti TTCL na yeye ni mteja wa mkongo kama ilivyo Tigo, voda na Airtel. Sasa TTCL kuu manage sio sawasawa. Ataunda kampuni independent kuu manage. Dah! Tanzania yetu inateketezwa na vijana wadogo kama January kwa kukosa uzalendo ili tu atimize matakwa yake ya kisiasa.