Zitto Kabwe ailipua Airtel bungeni dhidi ya TTCL

Zitto Kabwe ailipua Airtel bungeni dhidi ya TTCL

Pole pole unaanza kumuelewa 'Rostam Aziz' wakati anajiuzulu alipoziita siasa zetu ni uchwara, not to defend the guy shoddy business activities be it legally contracted with scrupulous politicians and government official of the day.

Hivi unaweza vipi kusema fulani arudishe hisa zake kwa serikari kilazima kama hakati, unapouza hisa nini maana yake sasa kama unaweza zidai anytime? this is more than pathetic.

Binafsi sheria zetu sijui zipoje za forceful takeover lakini kama hakuna sheria za majority shareholder mwenye percent fulani ya hisa kuweza kununua kwa nguvu hisa za mwengine huwezi kumlazimisha mtu auze kama hataki, hawa jamaa TTCL wana wanasheria wa kampuni (sina uhakika lakini commonsense says so, or else itakuwa vitu vya ajabu) unless labda waende na breach of contract kama hipo sawa lakini uwezi kuchukua hisa za mtu kwa lazima things do not work like that; hata hao washabiki wa Manchester United hawakuweza kuzuia the 'Glazier family' kuinunua timu rules are rules and protected by law kwa fikra hizi hizi upende usipende.

Tabia za wanasiasa kuanza kuzipotosha jamii kwa sababu ya cheap popularity kwakweli sio nzuri, yes kuna watu walifanya makosa sana wakati wa utawala wa Mkapa kwa kuingia mikataba au ubia ambao unamatatizo na mikataba isiyo na manufaa lakini tusidhani na hao wabia hawakufikiria wanajikinga vipi baadae iwapo wataingia viongozi makini in the future.

Sasa serikari itasemaje jamaa wapewe kiasi fulani waondoke ndivyo share zinavyochukuliwa hivyo wakati hata wewe ungekua mmbia realistically ungetaka kujua value of the assets na upewe chako thats how the cookie crumbles. Nadhani ni wakati muafaka wa kuanza kuangalia mambo kialisia sio kutaka kujifurahisha na ndio mambo ya IPTL na escrow hakuna ukweli wowote wa hoja za hela za serikari na watu wanafukuzwa kazi kwa siasa za kipuuzi.

Watanzania tusikubali CCM ituletee mtu yeyote maana tunajua mgombea wao ana nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi tukiweka mpuuzi safari yetu itazidi kuwa ngumu huko mbeleni kwa jinsi makada wao wanao angaika hapa kutetea mkate wao na siasa za kipuuzi zenye kila sababu ya mwonyesha za makada wenye njaa haya mambo hayataisha leo wala kesho, its time we demand na aje mtu mwenye kujua anarekebisha vipi makosa ya nyuma realistically sio haya mambo ya kujianzia na kulaumu shareholder watu wakati wenyewe tuliingia kichwa kichwa kukubali mikataba isiyo na tija na taifa hata huko EAC inabidi tuwe makini sana na tunachokubaliana maana wenzetu wana motive zao.
 
Huu ndio ujanja wa soko huria,,airtel ilitumia akili sana kununua hisa ili kuliondoa katika ushindani shirika/kuliua taratiiibu.
 
Zitto Kabwe anafanya vizuri sana na sidhani kama tutapata mwenyekiti mzuri wa kuweza kufanya vizuri zaidi kama Zitto
 
Naomba nieleweshwe, airtel anawezaje kuwa mbia wa TTCL wakati na yeye anafanya biashara hiyo hiyo independently? Mbia gani anaweza kumsaidia mpinzani wake kibiashara afanikiwe?

labda nikudokeze mkuu, kampuni ya apple ndo most valuable company in then world, kampuni hii ina mshindani mkubwa ambae ni samsung kwa sasa, ila hao hao samsung ndo walikuwa watengenezaji wa processors za apple ambazo zinaitwa A SERIES na ndio zinaifanya simu za apple ziwe faster kuliko hata simu za samsung (iphone are the top selling smartphones mpaka sasa ila chip wananunua samsung kwa mda mrefu sasa kama mbia wao) ***business is complicated, its more than what we study in classes)
 
Zitto Kabwe anafanya vizuri sana na sidhani kama tutapata mwenyekiti mzuri wa kuweza kufanya vizuri zaidi kama Zitto

Sidhani kama ni kweli, naamini kuna baadhi ya Watanzania (Leo au kesho) ambao wanauwezo mzuri aidha sawa au zaidi kuliko Zitto
 
Zitto Kabwe anafanya vizuri sana na sidhani kama tutapata mwenyekiti mzuri wa kuweza kufanya vizuri zaidi kama Zitto

Amempita kwa mbali sana mwenyekiti wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mheshimiwa freeman mbowe
 
Kamati yake imetimiza wajibu wake, Habari ya uzuri wa mtu ktk kutekeleza majukumu yake ni kujaribu kumpamba kwa sifa asizostahili..!!!

Hapa tumekuwa tukimponda Rais Kikwete kwa kushindwa kutimiza wajibu wake ktk mambo kadha wa kadha ndani ya Taifa hili, Lakini angekuwa anatimiza wajibu wake katu hakuna mtu angefunua mdomo kumsifia kwa jambo ambalo amelifanya na alitakiwa kulufanya kwaw namna alivyolifanya.

Kama ni habari ya kumsifia mtu, Basi sifa hizi zilipaswa kwenda kwa Samweli Sitta spika wa bunge la Tisa. Yeye kwa kutumia wadhifa wake kamaw Spika wa Bunge ndiye aliyebadiri utaratibu wa Kamati za Ukaguzi wa hesabu Serikali, Mashirika ya Umma na hii ya Pac kuwa chini ya wenyeviti wa Vyama vya upinzani, kama sow yeye mambo yangekuwa business as Usual.!

BACK TANGANYIKA
 
labda nikudokeze mkuu, kampuni ya apple ndo most valuable company in then world, kampuni hii ina mshindani mkubwa ambae ni samsung kwa sasa, ila hao hao samsung ndo walikuwa watengenezaji wa processors za apple ambazo zinaitwa A SERIES na ndio zinaifanya simu za apple ziwe faster kuliko hata simu za samsung (iphone are the top selling smartphones mpaka sasa ila chip wananunua samsung kwa mda mrefu sasa kama mbia wao) ***business is complicated, its more than what we study in classes)
Sie tunadhania ni vitu rahisi isitoshe jamaa wamefunguliana kesi luluki mahakamani kuhusu wizi wa patent lakini kamwe ukuwahi kusikia kesi ya mkataba kwa sababu hayo ni maelewano mengine ya kufanya biashara provided kila mtu katimiza wajibu wake.

Sasa sisi tunamatatizo makubwa sana ya maana ya neno maelewano au contract kwa lugha nyingine, tunaingia maelewano yasiyo na tija halafu baadae tumlaumu mmbia au mwekezaji wakati sisi wenyewe ndio tumekubali terms and conditions.
 
Mimi miaka yote najua serikali ina hisa AirTel,sasa huyu mwekezaji wa TTCL kawekeza nini?
 
Unafahamu maana ya kulipua¿¿.

Hisa za Airtel zilikuwa wazi, kulikuwa hakuna siri yoyote.

Airtel imelipuliwa mkuu,wana hisa 35 lakini wanakwepa ktk kuweka mtaji,wao wanasubiri kugawana faida tu.serikali nayo inakwepa kutoa hela kwakua mbia mwenzie anakwepa kutoa hela.
 
Gharama ya kuifufua TTCL ni kubwa mno...

Bila uthubutu wa serikali basi shirika hili litafutika kabisa...
 
huyu januari makamba kashindwa kusimamia wizara yake kwa taasisi ya umma ttcl ataiweza nchi kubwa tanzania yenye taasisi nyingi ni tamaa zinampelekesha .amefanya nini la maana na tija kwa taifa

mwandosya analindwa na ukabila wa wanakyela lakini ni siku amepoteza sifa za kuwa kiongozi amepumbazwa na maccm amekuwa kama ngumbaru ni ufisadi na kung'ang'ania madaraka

itikadi ya ccm ikiwekwa bayana tutajua haya mashirika yatalindwa yatakuwa salama ama ndo yametaifishwa na kubinafsishwa
 
Mi naona bunge letu linataka kutupiga changa la macho tu.... walikuwa wapi kuwasema celtel waliopangishwa majengo na mitambo yote ya TTCL na wakati ule serikali ikaikataza TTCL kuwa na simu za kiganjani?

Ushindani wa simu ni jinsi unavyoweza kupata wateja mapema zaidi na mtu akikupiga changa la macho kwa miaka minne utakuja kujikongoja wakati yeye keshaweka chake mfukoni na ameweka ziada kuikwamua kampuni yake...TTCL inakufa kwa sababu nyingi lakini na hizi zimo i.e kunyonywa na CELTEL, baadae ikaitwa ZAIN na walipochota ya kutosha kwa kutumia miundo mbinu ya TTCL wakajiita AIRTEL na kuuza hisa zote kwa hao wadosi....wakati wote huo TTCL ilikuwa na zuio la kuwa na simu za mkononi.

Sehemu ya pili ni kukosa uzalendo kwa watanzania wenzetu wanaokabidhiwa mashirika hayo...wanakula mno hadi wanakata tawi walilokalia wenyewe kwa kukosa nidhamu...tunayaona ATC, TRL, TAZARA, TTCL n.k hii yote ni kukosa uzalendo na kukosekana kwa wasimamiaji bora wa sheria za kulinda na kuendesha mashirika ya umma ili yaweze kuleta ushindani...we subiri tu utaja sikia TBC siku moja kitu cha hivo hivo maana...haya yetu macho
 
Hayo makampuni bora yafe mambo ya kwenda nje kushonesha sare kwa mabillions hatuyataki.
 
Zitto ni kichwa achilia mbali ya uenyekit wa PAC,tambua zitto nikiongozi wa kipekee mwenye uwezo mkubwa ktk mambo nyeti kabla hata yakuwa mwenyekit wa PAC
Kamati yake imetimiza wajibu wake, Habari ya uzuri wa mtu ktk kutekeleza majukumu yake ni kujaribu kumpamba kwa sifa asizostahili..!!!

Hapa tumekuwa tukimponda Rais Kikwete kwa kushindwa kutimiza wajibu wake ktk mambo kadha wa kadha ndani ya Taifa hili, Lakini angekuwa anatimiza wajibu wake katu hakuna mtu angefunua mdomo kumsifia kwa jambo ambalo amelifanya na alitakiwa kulufanya kwaw namna alivyolifanya.

Kama ni habari ya kumsifia mtu, Basi sifa hizi zilipaswa kwenda kwa Samweli Sitta spika wa bunge la Tisa. Yeye kwa kutumia wadhifa wake kamaw Spika wa Bunge ndiye aliyebadiri utaratibu wa Kamati za Ukaguzi wa hesabu Serikali, Mashirika ya Umma na hii ya Pac kuwa chini ya wenyeviti wa Vyama vya upinzani, kama sow yeye mambo yangekuwa business as Usual.!

BACK TANGANYIKA
 
Amempita kwa mbali sana mwenyekiti wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mheshimiwa freeman mbowe

Ukipata muda au kama una mbunge yeyote wa CCM ambaye ni ndugu yako muulize kwa nini Freeman Mbowe akisimama Bungeni kuzungumza wabunge wote wa pande zote wananyamaza kimya hata kuchati na simu zao wanaacha na kumsikiliza yeye? Jee wanafurahishwa na sauti yake au kuna nini?
Majibu utakayo pata ndio utajua yule ni level ingine kabisa, na kama hutaelewa basi utakuwa huna tofauti na Lusinde wa Mtera. Na kama uko level ya Lusinde basi ni bahati mbaya kuwa member JF
 
Back
Top Bottom