Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Mahojiano makali sasa hivi yanendelea STAR TV kati ya ZItto kabwe na Aden Rage........baadhi ya mambo yanayoongelewa ni pamoja na namna ya kushirikiana kuendeleza barabara za mawasiliano za Kigoma na Tabora, ushirikiano na ushindani bungeni...........