Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #21
Zitto adai marando ana upeo mpana wa sheria na kwa vile hata mwana-CCM Kinana alimwamini na kutowaamini wana-CCM wenzake ndani ya bunge hilo ni vyema hata wana-CCM bungeni wakaiga mfano huo wa Kinana wa kuweka masilahi ya taifa mbele..............