Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
usihamaki mpaka ukavua nguo utatisha watoto nyumbani
Mtu wa pwani,
kwi kwi kwi, tartibu shehe.
Umesahau ushauri wako ulionipatia kuhusu usemi wa kuvua nguo?
usihamaki mpaka ukavua nguo utatisha watoto nyumbani
Mnisamehe waungwana lakini si shy .Mama Paroko , dada mwafrika mnisamehe kweli unajua kuna maudhi.Ila yameisha .Mtanzania kwikwikiw unasema mimi ni Chadema ? Si dhambi mkuu ila naomba weka kadi yangu hapa majina yangu yako wazi maana situmii nickname hapa .
Mtu wa pwani,
kwi kwi kwi, tartibu shehe.
Umesahau ushauri wako ulionipatia kuhusu usemi wa kuvua nguo?
hee hee nnakumbuka mkulu
Hili ni tangazo, na sio mada ya siasa... Nashangaa bado lipo kwaenye ukumbi wa siasa. Inaposemekana kuwa JF ni CHADEMA then mnabisha
Huu ni mfano mojawapo kuwa JF ni CHADEMA, na sijui wanagema nini?
Mbunge wetu ndugu Zitto yuko US na anapatikana kwa namba hii
+12026646388
Wivu?... Hell no!Litakaa hapa mpaka kiroho kikupasuke kwa hasira na wivu. Kwani hujui kuwa Zitto ni shujaa wa watanzania wote ikiwemo wana JF?
Wivu?... Hell no!
Hili ni Tangazo na linafaa kuwepo katika sehemu yake... Iwapo hata hapa tunashindwa kufuata taratibu, then kwa nini tunaipigia kelele CCM? Kushindwa kuitoa mada hii kwanye ukumbi huu ni aina mojawapo ya Ufisadi
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu...wivu tu utakumaliza... punguza makunjo ya moyo na utaishi muda mrefu.
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu...
Sioni tofauti yako na hao mafisadi...
Pamoja na kauli zako zenye ushawishi mkubwa, iwapo taratibu zinapindishwa ni rahisi kusema kuwa hata hapa JF kuna ufisadi...Najua unatafuta angalau ka sababu ka kuniita fisadi baada ya kuona chama chako kimejawa na mafisadi top down!
Punguza chuki zako dhidi ya zitto maana ni hero wa watanzania na utaishi maisha marefu yenye fanaka na raha tele!
Zitto yupo US...
Hili ni Tangazo, Mbaya zaidi eti umekuwa sticked katika ukumbi wa siasa!
Shame on you...!