Zitto, hii ndiyo timu ya kupitia masuala ya Tume Huru ya Uchaguzi uliyotegemea au wamekuchakachua?

Chadema hamkushiriki mkutano, acheni walioshiriki waunde timu inayowafaa. Kelele za nini. Nyie tazameni tu ,train ndiyo inaondoka hivyo bila nyie. Akili za kuambiwa na Lissu muwe mnachanganya na zenu.
Wewe ni Mjing&&& issue hii unaichukulia kichama duh
 
hapa tunapigwa changa la macho wazi wazi kabisa, hamna tume huru hapo
Hivi kuna watu timamu walitarajia jambo la maana kwenye kile kikao? Chadema siku zote wako mbele ya muda yaani mkandara daah anyway ujinga ni mzigo mkubwa kwa wadanganyika
 
Fikra za watu wengine zinafikirisha sana, hata kama kina Zitto & co. wakifanikiwa kuunda tume huru kitu ambacho ni next to impossible unadhani itakuwa ni tume ya CCM na ACT tuu?
Nchi hii kuna majitu majinga sana nahayo ndio msaada wa cccm
 
Please remain within the context of the issue.. Chadema wamealikwa wawe sehemu ya mkutano, wamekataa, lakini hapo hapo wanataka wafanye maamuzi ya yanayoendelea ndani ya kikao hicho hicho wao wakiwa nje..Hakuna uhusiano na swali unalouliza.
Kwa hiyo CHADEMA kwa kuwa hawakuwepo ndio iwe kigezo Cha CCM kuweka Wana CCM kwenye hiyo timu?,

Bado walipaswa kuweka timu inayokubalika na pande zote bila kujali Kama CDM hawakuwepo au walikuwepo.
 
Naomba kumuuliza Mhe. Zitto kama ameshiriki kuunda hii timu iliyotajwa na Msajili au Msajili Kwa namna alivyoona inafaa ndiye kaja na wajumbe wake? Mwenyekiti wa timu hii kweli tunaamini ni mtu wakumleta kwenye hoja nyeti wakati alishatoa kauli mbili tofauti juu ya uchaguzi uliopita? Ana kauli ya baada ya uchaguzi na baada yakuingia awamu wa sita.

Huyu Mwenyekiti wa amani wa Dar es salaam tunaamini anatuvusha na Makamu wake?

Wawajilishi wa vyama vya siasa ndo Hawa? Wawalishi wa Asasi za kiraia nafasi hazina majina means awakushirikishwa wateue watu?

Nataka Kuanza kuamini katiba mpya ni ngumu kupatikana Kwa namna agenda zinavyowekwa meza kuu
Jambo kubwa kwa nchi haliwezi kufanyika chini ya rais dhaifu kama wa sasa
 
Naomba kumuuliza Mhe. Zitto kama ameshiriki kuunda hii timu iliyotajwa na Msajili au Msajili Kwa namna alivyoona inafaa ndiye kaja na wajumbe wake? Mwenyekiti wa timu hii kweli tunaamini ni mtu wakumleta kwenye hoja nyeti wakati alishatoa kauli mbili tofauti juu ya uchaguzi uliopita? Ana kauli ya baada ya uchaguzi na baada yakuingia awamu wa sita.

Huyu Mwenyekiti wa amani wa Dar es salaam tunaamini anatuvusha na Makamu wake?

Wawajilishi wa vyama vya siasa ndo Hawa? Wawalishi wa Asasi za kiraia nafasi hazina majina means awakushirikishwa wateue watu?

Nataka Kuanza kuamini katiba mpya ni ngumu kupatikana Kwa namna agenda zinavyowekwa meza kuu
Changa la macho hili.
Ukisikia mchongo maana yake ndiyo hii.
 
Please remain within the context of the issue.. Chadema wamealikwa wawe sehemu ya mkutano, wamekataa, lakini hapo hapo wanataka wafanye maamuzi ya yanayoendelea ndani ya kikao hicho hicho wao wakiwa nje..Hakuna uhusiano na swali unalouliza.
Kama kuna makosa makubwa walifanya CHADEMA ni kutoshiriki huu mkutano. Ingewasaidia kupambana wakiwa ndani. If you can't fight them, join them!
 
Chadema hamkushiriki mkutano, acheni walioshiriki waunde timu inayowafaa. Kelele za nini. Nyie tazameni tu ,train ndiyo inaondoka hivyo bila nyie. Akili za kuambiwa na Lissu muwe mnachanganya na zenu.
Mkuu na wewe changanya na za watu wenye maono na hekima
 
Itakuwa Tume ya wote. Ndiyo maana inabidi Chadema wakae kimya watulie, waundiwe Tume. You cannot eat your cake and have it. Meaning you can't enjoy both of two desirable.

Chadema haiwezi kukaa nje na wakati huo huo wanataka kuwa na say kwenye mambo yanayofanyika ndani.
Kwa ninavyo ona na kuchambua hali halisi ya siasa CHADEMA ina inatisha na inawatatiza watu wengi, wakubwa kwa wadogo, wenye wasomi na wenzangu mimi, matajiri na wanyonge na hata wazalendo na wasio wazalendo.
 
Please remain within the context of the issue.. Chadema wamealikwa wawe sehemu ya mkutano, wamekataa, lakini hapo hapo wanataka wafanye maamuzi ya yanayoendelea ndani ya kikao hicho hicho wao wakiwa nje..Hakuna uhusiano na swali unalouliza
Mkuu bado tu!!
 
Kwa hiyo CHADEMA kwa kuwa hawakuwepo ndio iwe kigezo Cha CCM kuweka Wana CCM kwenye hiyo timu?,

Bado walipaswa kuweka timu inayokubalika na pande zote bila kujali Kama CDM hawakuwepo au walikuwepo.
Tulieni mfundishwe siasa.
 
Me ninachowaza tupaze sauti kama wanataka kuwapa watanzania tume huru ya katiba basi basi iwe huru kweli kweli isiingiliwe na mihimili mingine kabisa!

Kwa mfano unaposema tume itaongozwa na labda Jaji fulani ambaye kachaguliwa na Rais moja kwa moja lazima awe biased,

Au Rais ndo anateuwa wajumbe lazima ateuwe anaojua watamfavor,

Tume huru iongozwe na watu ambao hawana affiliation na serikali, kwa mfano taasisi za dini, vyama upinzani vyote viwe na wajumbe angalau hata wawili kwa kila chama, taasisi zinazotetea haki za binadamu wajumuishwe,

Ndani ya hawa wajumbe wafanyiane vetting wenyewe kumchagua mwenyekiti, makamu n.k badala ya Rais kupendekeza viongozi

Hii tume unayopendekeza hapa ndio sahihi na ndio inavyopaswa kuwa. Ila tume huru ya ukweli haiwalipi CCM, hivyo ni lazima wataweka tume kiini macho ya kupunguza pressure, lakini lazima waweke inayolinda maslahi ya CCM. Tume ya aina hii unayopendekeza inaweza kupatikana baada ya kutokea machafuko.
 
Back
Top Bottom