Siku wenye chama chao wakiamua kuondoka na jengo lao chama kitakufa Zitto atabaki na makaratasi ya Msajili wa vyama vya siasa tu. Jifunze kutoka kwa Lipumba na CUF yake.
Najua wafuasi wa Zitto hawapendi kusikia haya lkn, Ukweli ndio huo.
Zitto and others, Keep this short Thread you will thank me later.