Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
sioni wapi vijana wa Tanzania na wasomi wake wanaweza leta ukombozi wa hii nchi.Na hii haishangazi kwani kwani hata tafiti zao zinaeitiriwa na Vyeti tuu na si vinginevyo.Kama tunaweza kuwa watu wengi hivi wapo tayari kupinga mabadiliko,wapo tayari kulinda himaya ya CCM ni wazi atakayekuja badili nchi CDM wakishindwa ni lazima awe dictator awachape wote na kuwaongoza kama robot hadi afe ndipo warudi kwenye ujinga wao.
Nyerere was so smart and very lucky kuwa that smart among fools.Disappearance yek ndiyo imefungulia all the dogs in town.Kwa ujumla tuna ujasiri wa kubaki ktk dhiki na kuzama kuliko kuondoka.Huwa tuna create bigger enemies wanaotosha tuhakikishia defeat katika fikra zetu kabla hata hatujaanza project.
Vijana wenye akili wana simama wanatetea ushenzi wa Zitto in the middle of the battle?Zitto naye anajua nini kipo at stake halafu anafanya matendo kama haya irresponsibly?Vijana waoga wanaona kwenda mbele ni kugumu zaidi ya kubaki na CCM huku wakidhani wanaweza secure nafasi za fadhila wanaua si nafsi zao tuu bali hata za watoto wao.WANAKOPA NGUVU NA DAMU ZA WATOTO NA KUZUTUMIA VIBAYA,WAFANYAYO YANAONGEZA KIASI CHA DAMU WATAKAYOMWAGA WANAFUATIA KTK NCHI HII ILI KUITOA KTK SHIMO TUNALOSUKUMIZWA NA CCM.sijui kwa nini hawaoni wanavyohalalisha kutawaliwa na huyu mwovu alieyebeba jina CCM na miwshowe CCM kupambana kwa vile atakuwa na imani kuwa kutawala kwa staili y akitumwa ni haki yake.
Halafu anadai udini na ukabila?Mbona nazidi thibitisha kuwa dini yake na kanda aliyotoka haiaminiki linapokuja suala la long and enduring journey.Huyu ana abuse tafsiri za udini ,ukabila, na ukanda.Anawasaliti waislam na watu wa kanda yake kwa kuact kama mtoto mdogo,kutowajibika kwa taifa na jamii aliyotoka zaidi ya kutaka watu wawajibike kwake.Conventional wisdom haimwambii kuwa CDM wanaweza pia kaa na kuashauriana wakapa best candidate kabla ya kuchukua form ili wapewe go ahead kuchukua form na uchaguzi uwe na matokeo mazuri na yenye kuweza changia ushindi na ukombozi kwa watanzania.
Kwa position CDM ilipo ni wazi kuwa watanzania wameweka matumaini kwao sana ya ukombozi na katk hii stage si Mbowe wala Slaa wanaweza fanya mzaha hawalafu wakawatazama watanzania.Zitto haoni kuwa na yeye ana wajibu mkubwa sana wa kuwa na busara.Kama aliingia katk siasa kama sehemu ya kupata mademu na sifa nyingine ajue alisaini mkataba mgumu sana.Keshachukua dhamana ya watananzia na sasa hawezi itia najisi kwa hizo sifa zake.talia kama yupo labour lakini lazima awajaibiki na kuwajibishwa.Sifa za kuwa anafaa kuwa jemedari halafu hawezi tumia busara hapa ni ukakasi mkubwa na ushahidi kuwa hawezi shika dhamana ya wananchi na kilichobakia ni kunajisi dhamani aliyopewa.
Mkubuke mkichezea nafasi basi hamtakaa muwe na nafasi tena ya kutoka katk hizi dhambi kwa kura au mtutu.Dunia siku hizi ina kataza mapinduzi ya mtutu,wasalaiti na waovu wengine hawawezi tena uwawa,watakuwepo nasi na watatumia haki za msingi kuwalinda ,huku wakiendelea fanya usaliti kwa raha zao.Miaka iliyopita jamii husika kama za kichina na nyingine za africa zilua waoga, wasaliti, watoa siri na wengine waliokuwa na elements za kurudisha move za jamii husika nyuma au hata kuhatarisha uhai wa kabila au taifa.Hawa walipotezwa ili kuokoa familia.Mjue sasa hivi Zitto na Shibuda hawawezi fanyiwa hivyo kwani haki za binadamu zinawalinda,na zitawalinda hata wanapowaangamiza watu wote,zitawalinda hata kipindi watakapotumi akila sababua jitete hata kama haihusiki na lengeo la mwanzo. Wata abusue sana democrasia,hawatawajibika na watataka mgao.
CCM is ganga of crooked evils ambao hata wao wanaihtaji msaada wa ukombozi wenu,wanachofanya ni kila mtu kuchukua chake mapema,ila hawajui watakwend aishi wapi na hicho wakitacho chao.Kuna hitaji la kuwato na kuawanyang`anya haraka, kabla hawajafanya uovu mkubwa zaidi ambao hautazibika na baadaye kujikuta tunahitajia watesa au kuwaua.
Nyerere was so smart and very lucky kuwa that smart among fools.Disappearance yek ndiyo imefungulia all the dogs in town.Kwa ujumla tuna ujasiri wa kubaki ktk dhiki na kuzama kuliko kuondoka.Huwa tuna create bigger enemies wanaotosha tuhakikishia defeat katika fikra zetu kabla hata hatujaanza project.
Vijana wenye akili wana simama wanatetea ushenzi wa Zitto in the middle of the battle?Zitto naye anajua nini kipo at stake halafu anafanya matendo kama haya irresponsibly?Vijana waoga wanaona kwenda mbele ni kugumu zaidi ya kubaki na CCM huku wakidhani wanaweza secure nafasi za fadhila wanaua si nafsi zao tuu bali hata za watoto wao.WANAKOPA NGUVU NA DAMU ZA WATOTO NA KUZUTUMIA VIBAYA,WAFANYAYO YANAONGEZA KIASI CHA DAMU WATAKAYOMWAGA WANAFUATIA KTK NCHI HII ILI KUITOA KTK SHIMO TUNALOSUKUMIZWA NA CCM.sijui kwa nini hawaoni wanavyohalalisha kutawaliwa na huyu mwovu alieyebeba jina CCM na miwshowe CCM kupambana kwa vile atakuwa na imani kuwa kutawala kwa staili y akitumwa ni haki yake.
Halafu anadai udini na ukabila?Mbona nazidi thibitisha kuwa dini yake na kanda aliyotoka haiaminiki linapokuja suala la long and enduring journey.Huyu ana abuse tafsiri za udini ,ukabila, na ukanda.Anawasaliti waislam na watu wa kanda yake kwa kuact kama mtoto mdogo,kutowajibika kwa taifa na jamii aliyotoka zaidi ya kutaka watu wawajibike kwake.Conventional wisdom haimwambii kuwa CDM wanaweza pia kaa na kuashauriana wakapa best candidate kabla ya kuchukua form ili wapewe go ahead kuchukua form na uchaguzi uwe na matokeo mazuri na yenye kuweza changia ushindi na ukombozi kwa watanzania.
Kwa position CDM ilipo ni wazi kuwa watanzania wameweka matumaini kwao sana ya ukombozi na katk hii stage si Mbowe wala Slaa wanaweza fanya mzaha hawalafu wakawatazama watanzania.Zitto haoni kuwa na yeye ana wajibu mkubwa sana wa kuwa na busara.Kama aliingia katk siasa kama sehemu ya kupata mademu na sifa nyingine ajue alisaini mkataba mgumu sana.Keshachukua dhamana ya watananzia na sasa hawezi itia najisi kwa hizo sifa zake.talia kama yupo labour lakini lazima awajaibiki na kuwajibishwa.Sifa za kuwa anafaa kuwa jemedari halafu hawezi tumia busara hapa ni ukakasi mkubwa na ushahidi kuwa hawezi shika dhamana ya wananchi na kilichobakia ni kunajisi dhamani aliyopewa.
Mkubuke mkichezea nafasi basi hamtakaa muwe na nafasi tena ya kutoka katk hizi dhambi kwa kura au mtutu.Dunia siku hizi ina kataza mapinduzi ya mtutu,wasalaiti na waovu wengine hawawezi tena uwawa,watakuwepo nasi na watatumia haki za msingi kuwalinda ,huku wakiendelea fanya usaliti kwa raha zao.Miaka iliyopita jamii husika kama za kichina na nyingine za africa zilua waoga, wasaliti, watoa siri na wengine waliokuwa na elements za kurudisha move za jamii husika nyuma au hata kuhatarisha uhai wa kabila au taifa.Hawa walipotezwa ili kuokoa familia.Mjue sasa hivi Zitto na Shibuda hawawezi fanyiwa hivyo kwani haki za binadamu zinawalinda,na zitawalinda hata wanapowaangamiza watu wote,zitawalinda hata kipindi watakapotumi akila sababua jitete hata kama haihusiki na lengeo la mwanzo. Wata abusue sana democrasia,hawatawajibika na watataka mgao.
CCM is ganga of crooked evils ambao hata wao wanaihtaji msaada wa ukombozi wenu,wanachofanya ni kila mtu kuchukua chake mapema,ila hawajui watakwend aishi wapi na hicho wakitacho chao.Kuna hitaji la kuwato na kuawanyang`anya haraka, kabla hawajafanya uovu mkubwa zaidi ambao hautazibika na baadaye kujikuta tunahitajia watesa au kuwaua.