Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 401
Mimi huwa najiuliza Udini wa Chadema utaisha lini?Hakika zitto hicho chama ni cha wakristo nakuhakikishia wanakusakama kwa sababu ya dini yako.Na sasa wanamfuata machange ujue udini unavyoitafuna chadema mbona hawamsakami katibu yule wa Tanga aliyetaka kuwa Rais.Na hiyo ukae ukajue ni Slaa ndo katengeneza yote haya.Mbowe kwangu sioni kama hisia za kidini kali kama alizonazo huyu mmbulu ni sumu kwako zitto na sasa anamshirikisha mambo ya chama hawara wake mbona mbowe hafanyi hivyo.Hakika slaa ni mdudu wa kuua sina huruma na watu kama hawa.Wambulu ni watu wa dini sana na wabinafsi waangalia watakavyojaa chadema kumfuata mmbulu mwenzao amini usiamini.