Zitto anadai serikal bado haijafanya maamuz kuhusu swala la mawaziri wanaotakiwa kujiuzuru, hivyo wanalishupalia swala hilo mpaka lieleweke, na tayari hoja ya kumuadabisha wazir mkuu iko kwa spika na wanamsubir spka awapangie sku ya kuljadir swala hilo.
Filikunjombe anasema ni kwa mara ya kwanza wakati bunge likihairishwa wabunge hawakupiga makofi, na walikuwa kmya hivyo ukimya huo wa wabunge una maana kubwa kwa serikal.
Nape anasema wabunge wana haki ya kuihoj serikal, na vile vile kama tuhuma za kuliwa fedha za umma zina ukwel basi serikal ifanye haraka kulitolea maamuz hil.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.