Zitto chupuchupu kutimuliwa CHADEMA!

Zitto chupuchupu kutimuliwa CHADEMA!

chama makini ni kile kinachowachukulia watu hatua bila kujali wadhifa, rangi au tabaka, na CHADEMA imekua makini katika kutekeleza hayo ispokua tu inapofika kwa Zitto. Je ni kweli kuwa hufahamu ni jinsi gani Zitto amekua akifanya mambo yake kinyume kabisa na misingi ya chama. Sasa kama chama kikianza kuwa na matabaka hasa katika kuchukua maamuzi hatutakua tofauti na CCM waliowafunga kima Farijala Hussein na kuwaacha KAGODA, au wanaposhinwa kuwashughulikia magamba aka mapacha watatu. Huoni kuwa misingi ya chama hapo itaanza kuwa ya kiupendeleo? hasa pale viongozi wa chini wanapowajibiswa kwa adhabu kali kali ikiwemo kufukuzwa uanachama, lakini huyu bwana haguswi? yeye ni nani?

kwa misingi hii ntarudisha kadi

we bwana acha ujinga, km vp rudisha kadi na kajiunge na maccm.
 
Leka dutigite! Zitto Kabwe ana umuhimu mkubwa sana CHADEMA. Aachwe na kama kuna tatizo aitwe aonywe. Nobody is perfect.

Maisha yangekuwa nikirahisi kama ulivyoyaweka nahisi kila kiongozi mkubwa atakuwa anaitwa anaonywa. Just think twice before you comment najua hukuwa na nia mbaya ila jitaidi kufikiri kwa mapana na maneno yakutokayo
 
CDM mnatusumbua na maazimio yenu fukuzeni wote tumechoka kusikia ngonjera zenu za migogoro.......na bado mwaka huu tutaona na kusikia mengi hata mi nitagombea Uenyekiti na nitakaa miezi mitatu nitajiuzuru.....CDM kwa hili mtakoma
 
CDM mnatusumbua na maazimio yenu fukuzeni wote tumechoka kusikia ngonjera zenu za migogoro.......na bado mwaka huu tutaona na kusikia mengi hata mi nitagombea Uenyekiti na nitakaa miezi mitatu nitajiuzuru.....na lazima nitashinda maana huku hakuna mwingine atakayegombea
 
Jamani Zitto ameikuta chadema ipo safi, kumbuka kipindi kile Zitto anakuja kwa Mbowe kuomba pesa ya matumizi mlimani. Huyu jamaa hana shukrani kabisa, sasa amepata tuhela twa Rostam, Kikwete na Lowasa anamdharau mdhamini wake Mbowe. Mimi nashauri afukuzwe kabisa. Ingawa gazeti hili la Rostam silipendi kabisa...
 
chadema hawana uwezo wa kumuondosha Zitto, Zitto ndiye pekee aliyeipaisha chadema, nani alikuwa anaijuwa chadema kabla ya Zitto? labda kwa kina Mbowe na wakweze tu.
Nikweli kabisa ndio maana tumeanza kuwajua majangili wa nchi baada ya sultani kikwete kumteua jangili kinana kuwa katibu mkuu wa chama cha majangili
 
vijana wa BAVICHA wanamalengo yao binafsi na kiukweli viongozi wa juu wa CDM ni vyema wakawa makini na vijana wao maana kama ukifanya uchunguzi na kuwasimamisha waseme nini kinachowafanya kumtaka zitto atoke CDM waliowengi watauma maneno na kuleta story za mimi nilikia hivi,sijui nani alimrekodi hivi,hakuna mtu atakayekuja na ukweli halisi.
WANABAVICHA siasa ni mchezo mchafu,siasa ni zaidi ya mnavyofikilia,siasa ni sihasa.kuna kitu kipo ndani ya BAVICHA na kapa kisipofanyiwa kazi mengi yatajitokeza kabla ya 2015.
mikakati mnayoitumia sasa kuwaondowa viongozi wenu wa juu ndio utakao tumika kukiangusha chama kama viongozi wa juu hawatakuwa makini,kuwa ktk siasa si kufukuza kama mnavyofikilia,siasa ni kuwekana chini,kuyasema matatizo kuyatatuwa na kusonga mbele na ikishindikana ndipo njia mbadala hutumika,
 
Ni makosa kuwazuia wanahabari wasiwepo ndio maana wanaweza kuandika namna hii. Hakukuwa na sababu ya msingi ya kuzuia waandishi wa habari kushuhudia ufanyaji kazi wa demokrasia...


leo waandishi inasemekana hawakuwepo ktk baraza hilo nini cha zaidi kilichokuwa kikifichwa na isitoshe tulikuwa tukipewa habari kupitia SURAKITABU[facebook] na JF,na sasa yameandikwa ktk magazeti mnatumia nguvu nyingi kuyakanusha.
CDM epukeni hili kwa mabaraza yajayo.
 
Maisha yangekuwa nikirahisi kama ulivyoyaweka nahisi kila kiongozi mkubwa atakuwa anaitwa anaonywa. Just think twice before you comment najua hukuwa na nia mbaya ila jitaidi kufikiri kwa mapana na maneno yakutokayo

BAVICHA mnachezeshwa ngoma msioijuwa,mtakapo kujakuamka tayari watu wameshapata nukta 3 na wanashangilia ushindi.
 
chama makini ni kile kinachowachukulia watu hatua bila kujali wadhifa, rangi au tabaka, na CHADEMA imekua makini katika kutekeleza hayo ispokua tu inapofika kwa Zitto. Je ni kweli kuwa hufahamu ni jinsi gani Zitto amekua akifanya mambo yake kinyume kabisa na misingi ya chama. Sasa kama chama kikianza kuwa na matabaka hasa katika kuchukua maamuzi hatutakua tofauti na CCM waliowafunga kima Farijala Hussein na kuwaacha KAGODA, au wanaposhinwa kuwashughulikia magamba aka mapacha watatu. Huoni kuwa misingi ya chama hapo itaanza kuwa ya kiupendeleo? hasa pale viongozi wa chini wanapowajibiswa kwa adhabu kali kali ikiwemo kufukuzwa uanachama, lakini huyu bwana haguswi? yeye ni nani?

kwa misingi hii ntarudisha kadi

Rudisha hata kesho asubuhi, zitto hawezi fukuzwa kwa sababu za 'kijinga jinga' hivi zilizopikwa na kina Saanane. Unajua hoja zenu ni nyepesi mno na haziaminiki, ndio maana nimependa alosema 'ZITTO IS THERE TO STAY'.
 
Akina Ben Saanane kumbe umwamba wao ni kwenye Mitandao na genge la Bavicha, hilo file la Mabaya ya Zitto naona alijikunyata nalo kiasi kwamba hata mmoja hakujitokeza kuanza kuweka huo ushahidi, sasa kama mmeshindwa kumhoji mkiwa nae pamoja na Top Brass yenu msilete unafiki humu kwa ID feki. Zitto kawazidi sana Ujasiri na kusimamia anachokiamini bila ya kuogopa. Vita anyopigwa Zitto angepigwa mtu kama Mnyika sasa hivi angekuwa Historia.
 
CHADEMA ni Chama makini unatakiwa uanze kujifunza,mlishazoweya kusambaratisha vyama vyaupinzani lakini hapo mmegonga mwamba,kama mlitega mtego huo kajipangeni tena.

Mnajua habari za Makamba kununua tawi la Urusi Kigoma? mil 15 tulikula na baada ya hapo tukahamisha tawi pembeni!

hivi kuna CHADEMA bila ZZK?jaribuni muone
 
Kama ni kweli yaliomo kwenye hilo gazeti,basi CHADEMA inawakati mugumu sana hasa kwenye suala la kuunganisha makundi mawili yanayopingana ili kuweka nguvu moja.Suala la kumung'oa ZZK kwenye chama sio rahisi kama BAVITA wanavyozani.Hata hivyo nina wasiwasi na hao BAVITA wanatumiwa na mmoja wa viongozi wa meza kuu,maana sio rahisi kuishambulia meza kuu pasipo na hoja zenye maana kwa chama.
 
ikifika december bado Zitto Kabwe hajafukuzwa ndani ya CHADEMA ntarudisha kadi yangu kwa hiari...nikiwa kama mwanachama wa kawaida sana, nasikitiswa sana na jinsi kijana huyu anavyohujumu mipango na mikakati ya chama, zito ni mbinafsi, msiri, mchochezi, mpika majungu na M-CCM pia...anamatukio ya ajabu ajabu sana..SHAME ON ZITTO ZUBERI KABWE.

Akifukuzwa Zitto ntarudisha kadi.
Nasikitishwa sana dk slaa aka mzee wa ruzuku aka mzee msela anavyo kiharibu chama kwa kumtumia saanane.

Shame on slaa padru muasi
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Last edited by a moderator:
Akina Ben Saanane kumbe umwamba wao ni kwenye Mitandao na genge la Bavicha, hilo file la Mabaya ya Zitto naona alijikunyata nalo kiasi kwamba hata mmoja hakujitokeza kuanza kuweka huo ushahidi, sasa kama mmeshindwa kumhoji mkiwa nae pamoja na Top Brass yenu msilete unafiki humu kwa ID feki. Zitto kawazidi sana Ujasiri na kusimamia anachokiamini bila ya kuogopa. Vita anyopigwa Zitto angepigwa mtu kama Mnyika sasa hivi angekuwa Historia.
wape kweli hao wanafiki,
Wataiwa cdm kwa kuendekeza ujinga wa kina Ben Saanane


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Last edited by a moderator:
Jamani Zitto ameikuta chadema ipo safi, kumbuka kipindi kile Zitto anakuja kwa Mbowe kuomba pesa ya matumizi mlimani. Huyu jamaa hana shukrani kabisa, sasa amepata tuhela twa Rostam, Kikwete na Lowasa anamdharau mdhamini wake Mbowe. Mimi nashauri afukuzwe kabisa. Ingawa gazeti hili la Rostam silipendi
kabisa...

Tatizo lenu mnaongelea kwenye Mitandao, ni mwanachama wenu,kiongozi wenu lakini mkikutana nae mnafyata hamtaki hata ajitetee, Nakumbuka siku moja humu mtandaoni alimtaka Ben saanane na viongozi wote wanaomshutumu wakutane kwenye Vikao, sasa sijui vikaoni mnamuogopa kitu gani mkija huku kwa ID feki mnajifanya mmechoka nae!! Kama Uamuzi wa kumfukuza Zitto umewashinda mnaweza kweli kufanya Maamuzi magumu nyie mkiaminiwa?????
 
Ben Saanane,

Ulikuja jukwaani ukamshutumu ZZK kuwa alikuwa kiongozi wa kundi la wasaliti wa CDM ambalo wewe mwenyewe ulikuwa mshiriki. Ukaliambia jukwaa la JF kuwa una ushahidi wa mambo yote uliyokuwa umeyasema juu shutuma ulizotoa.

Mwenyekiti wa BAVICHA katika taarifa yake kwa ya vyombo vya habari baada ya kikao kilicho fukuza "masalia" alise wewe Ben Saanane umesamehewa kwa sababu umekiri makosa na umeomba msamaha kwa kumchafua kiongozi mwandamizi wa CDM (hakutajwa jina ila kila anaefuatilia JF anamjua ni nani, walisoma post zako). Siku ya pili ukaja ukapinga hapa JF kwa kutaja jina kuwa hujawahi wala hutawahi kumuomba msamaha ZZK kwa sabab huna kosa lolote ulimfanyia ZZK, jambo linaloonesha kimisingia ni kweli ulikuwa na ushahidia wa kutosha katika shutuma zako kwa ZZK.

Yaliyojiri juzi yamejiri na wana JF wameyasikia, kila mmoja moyoni anajiuliza hivi hili suala la ZZK na ushahidi wa Ben Saanane ulipolekwa CDM limeishia vipi? Inawezeka kukawa na ushahidi wa uhakika(kiasi cha kupingana na mwenyekiti wako wa BAVICHA juu ya wewe kuomba msamaha) wa sauti na video wa ndugu ZZK akisaliti chama halafu CDM wakamuacha hivi hivi tu?

Hebu tufanunulie au nifafanulie hili jambo limekuaje ndugu Saanane!

Je, hivi ni kweli ulipeleka ushahidi wako wa uhakika ndani ya chama?
Je, CDM kimetupilia mbali au kudharau ushahidi wako?
Je, kuna mchakato wowote unaendelea ndani ya chama kuhusu shutuma zako hizi kubwa kubwa kwa ndugu ZZK?
Je, bado uko katika msimamo ule ule kuwa ZZK ni msaliti na alikuwa kiongozi wako katika usaliti?
Je, kwa nini usiuweke ushahidi hapa JF kama ulivyo weka shutuma hasa ukizingatia kuwa chama hakija chukua hata hatua ya kumjadili mtuhumiwa ZZK?
Je, wewe kama mwana CDM unaemini katika mabadiliko ya kweli unalionaje hili suala ya ndugu ZZK kubaki ndani ya CDM ilihali wewe una ushahidi usio na mashaka kuwa anakisaliti chama?


Ben,
Ulikuja hapa JF ukayaanzisha na ukatueleza haya mambo, hebu yamalize basi. La sivyo picha inageuka, tena inageuka sana. Wewe unakuwa ndio msaliti(tena usaliti wa aina mbaya kabisa) na ZZK anachukua ushujaa na pongezi zote wana JF walizokupa hapa jukwaani.


Zitto,
Ndugu naomba nikuulize swali. Kama yote aliyosema Ben Saanane juu yako si ya kweli na amekusingizia shutuma zote, na msingi wa kusamehewa kwake BAVICHA ni kuomba msamaha kwa makosa yake yote ikiwemo kukushutumu wewe, na ndugu Saanane amepinga hapa JF kuwa hajawahi kuomba wala hatawahi kukuomba msamaha juu ya suala la kukushutumu kuwa kiongozi wa masalia, mbona huyu kijana hajachukuliwa hatua yoyote na chama? mbona vijana wenzake walio toa shutuma dhidi ya viongozi wengine wamechukuliwa hatua na chama?


Hebu tufafanulieni hili jambo, mmoja kati yenu hatakiwi aendelee kuwepo CMD, ila nyote bado mpo CDM!! Kuna jambo haliko sawa hapo.


Huu ufa tuuzibe leo, kabla hujamuangukia mtu halafu ukatulazimu tujenge ukuta.
 
Back
Top Bottom