Mushobozi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2007
- 543
- 103
kama mimi ninapendelea kuandika vitabu na wewe unapendelea kuogelea, hivi nikisema niaandika kitabu chochote utaona nina hobby mbaya kuliko ya kwako? ni akili mbovu na uvivu wa kupindukia.
wenzetu walioendelea huandika vitabu juu ya maisha yao, sembuse Zitto kusema ninaandika kitabu kuhusu maisha ya mtanzania mwenzake. tuache kebehi na tuchape kazi huku tukiinua vipaji vyetu.
wenzetu walioendelea huandika vitabu juu ya maisha yao, sembuse Zitto kusema ninaandika kitabu kuhusu maisha ya mtanzania mwenzake. tuache kebehi na tuchape kazi huku tukiinua vipaji vyetu.