Yep, kweli kabisa ukiwa na PhD kwenye maswala ya kuwachamba vibibi vya kitasha nivigumu sana watu wakajuwa, maana ofisi yako ni maliwatoni most of the time.
Kwa wanaotaka kusoma Phd (free) Zurich gonga hapo chini
http://scholarship-positions.com/international-ph-d-program-zurich-switzerland/2009/10/14/
Put record straight jamani,
Mh. Zitto hafanyi PhD. He is doing his Masters. Jamani watu mkileta mada hapa ni vyema kufanya research. Sasa angalia thread nzima wamemuamini mleta mada, wakati na yeye hana uhakika na anachokiandika. Next time please do your research siyo kuja hapa kutoa info ambazo wewe mwenyewe huna uhakika nazo. NA HAPA NAANDIKA KWA CONFIDENCE MAANA NAJUA KABISA MKUBWA ANAFANYA MASTERS na Siyo PHD.
Otherwise, jamani, tujifunze kitu kimoja. Kutokubaliana siyo uadui. Kama hukubaliani na Mh. Zitto nadhani ni kwa mtizamo wa hoja, na si vyema kuanza kudemonize each other. Thats politics. Tushindanishe hoja. emotions zetu zisitufanye tuone wale wasiokubaliana na mawazo yetu kama wasaliti. Hapana siyo vyema. After all we cant be the same and our way of thinking is and must be different. Personally sikubaliani na mtizamo wa Zitto katika hili la DOWANS lakini sina budi kuuheshimu mtizamo wake. Maana atleast yeye kauweka wazi..ni tofauti na sisi tuanoandikia kwenye keyboard ya computer bila kuongea mbele ya umma. We should stand up and be counted.
Otherwise na mimi ningependa Serikali inunue mitambo hii moja kwa moja toka kiwandani. Kama inaweza kuagiza mashangingi mia saba kutoka Japan..kwanini ishindwe kuagiza genereta mbili toka GE or Siemens? Something fishy is in the pipeline.
Otherwise kwa Mh. Zitto, kila lakheri katika masomo yako. Elimu ni lulu. It neither has limits nor an end. Ongeza ujuzi urudi tulijenge taifa.
Masanja,
ona huyu naye anavyokurupuka...Kuosha vibibi unasomea mwezi na wanakupa kazi.
nazungumzia wanasiasa haohao
hivi wewe unajua kama Goldon Brown ana PhD?au Condoleeza Rice,tena aliipata akiwa na miaka 26?
Naomba nisahihishe kidogo. Sijaanza PHD bado. Ninaandika proposal ya PHD na nimepewa mpaka mwezi Mei mwakani kuwa nimemaliza na proposal kupitishwa na msimamizi wangu katika chuo cha WHU-OttoBeisheim School of Management. Ninajiandaa na shahada ya uzamivu katika uchumi rasilimali - Resources economics na nikifanikiwa, inshaallah, nitaanza rasmi kusoma ili kupata Doctorate of Economic Sciences.
Wakati huu ambao ninaandika proposal nimejienroll Bucerius Law School kwa masomo ya sheria za Biashara, shahada ya uzamili - ninaandika kuhusu mfumo wa kodi katika sekta ya madini (fiscal stability clauses in the mining sector. Unnecessary evil?).
Hivyo, naomba ieleweke kuwa bado sijaanza masomo ya PHD kama MBALAMWEZI alivyoandika hapa. Sijui Mbalamwezi katoa wapi habari hizi maana angeniuliza kwanza.......................
Germany Elimu bure na ukimaliza waambie wananchi wako umesoma bure kwa ajiri ya watu wenye vision walioona umuhimu wa kusaidia binadamu wote ili kufikia malengo yao na kujikomboa na sio bunge mnalopeana mikopo ya mamilioni kununua magari ya kifahari huku vijana wakinyimwa pesa za kula vyuoni na kuwafukuza eti wamegoma...magari mliyopeana mikopo na mafuta ya bure na bila aibu mkajiongezea madereva bungeni yanatosha kuwasha umeme nchi nzima!
Naomba nisahihishe kidogo. Sijaanza PHD bado. Ninaandika proposal ya PHD na nimepewa mpaka mwezi Mei mwakani kuwa nimemaliza na proposal kupitishwa na msimamizi wangu katika chuo cha WHU-OttoBeisheim School of Management. Ninajiandaa na shahada ya uzamivu katika uchumi rasilimali - Resources economics na nikifanikiwa, inshaallah, nitaanza rasmi kusoma ili kupata Doctorate of Economic Sciences.
Wakati huu ambao ninaandika proposal nimejienroll Bucerius Law School kwa masomo ya sheria za Biashara, shahada ya uzamili - ninaandika kuhusu mfumo wa kodi katika sekta ya madini (fiscal stability clauses in the mining sector. Unnecessary evil?).
Hivyo, naomba ieleweke kuwa bado sijaanza masomo ya PHD kama MBALAMWEZI alivyoandika hapa. Sijui Mbalamwezi katoa wapi habari hizi maana angeniuliza kwanza.......................
Naomba nisahihishe kidogo. Sijaanza PHD bado. Ninaandika proposal ya PHD na nimepewa mpaka mwezi Mei mwakani kuwa nimemaliza na proposal kupitishwa na msimamizi wangu katika chuo cha WHU-OttoBeisheim School of Management. Ninajiandaa na shahada ya uzamivu katika uchumi rasilimali - Resources economics na nikifanikiwa, inshaallah, nitaanza rasmi kusoma ili kupata Doctorate of Economic Sciences.
Wakati huu ambao ninaandika proposal nimejienroll Bucerius Law School kwa masomo ya sheria za Biashara, shahada ya uzamili - ninaandika kuhusu mfumo wa kodi katika sekta ya madini (fiscal stability clauses in the mining sector. Unnecessary evil?).
Hivyo, naomba ieleweke kuwa bado sijaanza masomo ya PHD kama MBALAMWEZI alivyoandika hapa. Sijui Mbalamwezi katoa wapi habari hizi maana angeniuliza kwanza.......................
what kind of nonsense is this? are you implying watu wasisome? kwani kiwanja wakiwa nazo na wasiseme who cares? acheni wivu wa kijinga, kama vp na nyie kasomeni.wanasihasa wa bongo washaona kuwa na PhD ni ujiko
watu kiwanja wanazo na wala huwezi kujua kama wanazo.
bado ndo yuko fest yia pale ustawi wa jamii, how abt that.Huyu Zitto lini kapata bachelor's?
what kind of nonsense is this? are you implying watu wasisome? kwani kiwanja wakiwa nazo na wasiseme who cares? acheni wivu wa kijinga, kama vp na nyie kasomeni.
what kind of nonsense is this? are you implying watu wasisome? kwani kiwanja wakiwa nazo na wasiseme who cares? acheni wivu wa kijinga, kama vp na nyie kasomeni.
Uongo mweusibado ndo yuko fest yia pale ustawi wa jamii, how abt that.
Mbona kama vile hupendi Zitto ale buku majuu? unajua nyie watz wa namna hio bana mnanikera sana.....ulitaka nae a hasle kwenye box alipie masomo au niaje niaje?Nipo Munich-Germany nasoma Phd bure!
wewe nawe.....Niko na MGHuyu Zitto lini kapata bachelor's?
Phd itasaidia vipi constituents waliompa ubunge? Naona Zitto priorities zake muhimu ni kutafuta umaarufu bungeni na kujiendeleza binafsi tu
Kweli bwana it is tempting kupata PhD kwa mlango mbovu. Kinacho nishangaza ni namna atakavyotumikia mabwana wawili. Nimesoma Ujerumany, PhD ni full time na kama uchanguzi ni mwakani sijui ataprogess namna gani.....labda kama atajitambulisha kwa undani zaidiKaribuni ataitwa mheshimiwa dokta Zitto Zuberi wa Kabwe.
Ila awe mwangalifu asije na u dr wa wakina Kamara na wenzie! Lazima atuthibishie pasipo shaka Kwamba kasotea kabla hatujabadilisha jina lake na kulitanguliza na dokta.