Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,943
- 6,863
Tunalia kwa vile Zitto kasema Dowans wasipolipwa watakamata mali za Tanzania Abroad!
Legally, what has to be the way forward with regard to this issue? Any suggestion my friend Fundi Mchundo.
Mimi si mwanasheria kama my learned friend alivyonikumbusha. Hapa nionavyo mimi ni kuwa hatuna recourse bali kuheshimu maamuzi ya arbitrators. Kitu pekee tunachoweza kufanya ni kuwachukulia hatua za kiutendaji wale ambao waliotufikisha hapa. Bahati mbaya historia inaonyesha kuwa hatuna hiyo political will.
Athari ya kutoheshimu uamuzi huu ni kubwa kuliko huko kukamatwa assets. Credibility yetu katika international arena itashuka na wale wote watakaoingia mkataba nasi watatutoza zaidi ( kwa mfano kusisitiza kiasi kikubwa cha bond kiwekwe kwa ajili ya kulipia vitu kama hivi vikitokea) ingawa wengi watakataa tu kufanya biashara nasi. Hii itatuacha na matapeli kama hawa Dowans na Richmond maana wanajua wana njia zao za kutuchuna!
Amandla.....