Congratulation Mh. Zitto!!! Hiyo ndiyo Democracy mze najua wabaya kinawauma, CHADEMA mwendo mdundooo!!!! Jamani huyu dogo Zitto upresida unamhusu for the futureeee!!!
Tatizo kubwa la Zitto ni msimamo. Hana tofauti na Spika Mstaafu Sitta. Sisi wengine kwenye siasa za Nchi hii tumo tangu 1975! Hata sijui Zitto alikuwa wapi wakati huo.
Kingekuwa kichekesho kwa kweli. Zitto awe KUB, Anne Makinda awe Spika, Job Ndugai awe NS, Chenge awe Chief Whip wa wabunge wa CCM,....., Bunge la hovyo kabisa tangu uhuru!
Hii habari ya wewe kuwa kwenye siasa tangu mwaka 1975 inatuhusu nini sisi? Nina uhakika mwaka huo Zitto alikuwa ama hajazaliwa au alikuwa ni mtoto mchanga (Toddler).
Tuondoeni matongotongo hapo kwenye red tumezoea lugha yetu ya taifa
kutokana na mawazo na michango ya wana JF kuhusu Zitto kutumika kukigawa chama, leo imedhihirisha wazi kuwa watu bado hatujamwelewa Zitto Kabwe, dakika chache zilizopita Mhe. Zitto ame post kwenye facebook maneno yafuatayo "The party through its secretariat has adopted a westminster system to elect the leader of the opposition, following that Chadema caucus has endorsed Rt. Hon. Freeman Mbowe as the leader, Zitto Kabwe as his Deputy and Tundu Lisu as Chiefwhip." mimi kam mpiganaji wa miamvuli nasema nimependezwa na Mhe. Zitto kutoa kauli hii ambayo inaonyesha yeye binafsi amependezwa na hatua hiyo na kuwa yuko tayari kuwatumikia tanzania wote na mimi nikiwepo. Tuko pamoja. peoooopleeee
pongezi za nini wakati zitto alisema wazi kuwa ikiwa westminster system itafuatwa ambapo mwenyekiti wa chama ndiye anakuwa kiongozi wa upinzani basi yeye angekubaliana na uamuzi huo na kumuunga mkono mbowe lakini ikiwa american democracy style ingefuatwa basi angegombea...maana kimarekani huwa ni gombea goli..
mi nadhani Zitto ni mkomavu sana kidemokrasia kuliko wengi wetu hapa jamvini...na ni kwa sababu ya huo ukilaza wetu ndiyo kila mara tunamuona kama msaliti ingawaje ameshasema mara kadhaa...kamwe hatokisaliti chama alichoshiriki kukijenga..Zitto ameingia chadema akiwa sekondari kwao kigoma..si kama wengi wetu humu ambao mpaka juzi hapa 2005 tulimpigia kura kikwete.....ni baada ya slaa kulipua mafisadi pale TMK ndiyo baadhi humu wakaanza kujua alah..kumbe kuna upinzani!!!!
tofauti na wanasiasa wengi wa kiafrika na mashabiki wao...kwao upinzani maana yake ni kutaka kuleta mgawanyiko na ni uadui..hatujui kushindana kwa hoja...ni kwa mantiki hiyo mara nyingi zitto anashindwa kueleweka katika macho ya 'wanaojiita' wapinzani:smile-big:
kutokana na mawazo na michango ya wana jf kuhusu zitto kutumika kukigawa chama, leo imedhihirisha wazi kuwa watu bado hatujamwelewa zitto kabwe, dakika chache zilizopita mhe. Zitto ame post kwenye facebook maneno yafuatayo "the party through its secretariat has adopted a westminster system to elect the leader of the opposition, following that chadema caucus has endorsed rt. Hon. Freeman mbowe as the leader, zitto kabwe as his deputy and tundu lisu as chiefwhip." mimi kam mpiganaji wa miamvuli nasema nimependezwa na mhe. Zitto kutoa kauli hii ambayo inaonyesha yeye binafsi amependezwa na hatua hiyo na kuwa yuko tayari kuwatumikia tanzania wote na mimi nikiwepo. Tuko pamoja. Peoooopleeee