Sio kweli kuna vijana wanaompiku Zitto si tu kwa kujenga hoja na kuzitetea bungeni bali wanampiku hata kielimu mmoja wao ni Halima Mdee!! Sasa wameingia wengine wengi tu mjengino!
Aliyekuwa mbunge machachali Mh Zitto kabwe alielekea kupozteza tunu yake kwa taifa
mwaka 2006-7 kila mwannchi alimjua zitto lakini sasa hivi zitto kapotea kwnye vuchwa vya wananchi,
Je zitto ndo anapotea kama mrema ?
Umakini wa Zitto katika bunge lililopita kwa kiasi kikubwa ndio uliosababisha vijana wengi washinde ubunge katika uchaguzi wa mwaka huu, wananchi wa majimbo mbalimbali walichagua wabunge vijana ili kujipatia "Zitto" wao, Zitto ni Asset muhimu sana kwa Chadema.
Sio kweli kuna vijana wanaompiku Zitto si tu kwa kujenga hoja na kuzitetea bungeni bali wanampiku hata kielimu mmoja wao ni Halima Mdee!! Sasa wameingia wengine wengi tu mjengino!
hahahaaaa.... ukilala unamuwaza zitto? heheheeee.. mmeo anajua?Aliyekuwa mbunge machachali Mh Zitto kabwe alielekea kupozteza tunu yake kwa taifa
mwaka 2006-7 kila mwannchi alimjua zitto lakini sasa hivi zitto kapotea kwnye vuchwa vya wananchi,
Je zitto ndo anapotea kama mrema ?
Aliyekuwa mbunge machachali Mh Zitto kabwe alielekea kupozteza tunu yake kwa taifa
mwaka 2006-7 kila mwannchi alimjua zitto lakini sasa hivi zitto kapotea kwnye vuchwa vya wananchi,
Je zitto ndo anapotea kama mrema ?
hahahaaaa.... ukilala unamuwaza zitto? heheheeee.. mmeo anajua?
Zitto kabwe ni mpiganaji, msubiri bungeni uone ndo swali lako litajijibu..
Na wakitaka kuona jinsi gani chadema inaanguka wacheze na zitto
lile ndio jiwe pekee ambalo linaifanya chadema in'gare
Congratulations nyingi kwa Zitto!!!!! Pepooooooooz!!!!:yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield:
Najua mafisadi na vibaraka vyao wanasali usiku na mshana ili chama kiingie kwenye migogoro... Msiwape nafasi ya kucheka hata kidogo...........:nono::nono::nono: