Wamewasahau CUF? Hiyo ya WestMinster wangewaachia wazungu wenyewe!
hata mimi nimefurahishwa sana na natarajia kuwa baada ya kufanya kazi kwa ukaribu kwa miaka mitano watadumisha mshikamano ndani ya chama.kutokana na mawazo na michango ya wana jf kuhusu zitto kutumika kukigawa chama, leo imedhihirisha wazi kuwa watu bado hatujamwelewa zitto kabwe, dakika chache zilizopita mhe. Zitto ame post kwenye facebook maneno yafuatayo "the party through its secretariat has adopted a westminster system to elect the leader of the opposition, following that chadema caucus has endorsed rt. Hon. Freeman mbowe as the leader, zitto kabwe as his deputy and tundu lisu as chiefwhip." mimi kam mpiganaji wa miamvuli nasema nimependezwa na mhe. Zitto kutoa kauli hii ambayo inaonyesha yeye binafsi amependezwa na hatua hiyo na kuwa yuko tayari kuwatumikia tanzania wote na mimi nikiwepo. Tuko pamoja. Peoooopleeee
Mpongezeni Mbowe. Ndiye KUB wetu.
Chadema sio ccm. Hawakimbilii vyeo. Kila mtu anapata stahili yake
Ila Mbowe atumie sana hekima na busara kwenye kuongea kwani jamaa anaonekana ngumi mkononi!
Kwani hii ndiyo mara ya kwanza kwa Mbowe kuingia Bungeni, 1995 mbona hakurusha ngumi. Acha majungu na siasa za majitaka kama Chenge.Ila Mbowe atumie sana hekima na busara kwenye kuongea kwani jamaa anaonekana ngumi mkononi!
hahahah jamani hata kama kuna mapandikizi kwenye chama chetu cha Chadema inabidi wafuate upepo unakokwenda atiiii
maana hizi ni zama za Mageuzi... waangalie Kenya kwa Mugabe, hapo Uganda mtasikia bora muwapigie simu waliowatuma kwamba mmeamua Kubaki Kwa Mageuzi mtaumbuka ......
watanznia tunasali ati??
Chadema msikubali mgogoro kabisa mkiona mtu anajishaua shaua muondoweni tunaweza kuendelea bila Yeye....
Nahitaji Kadi ya Chadema RASMI kwa dodoma nitapata wapi etiiiiiiiii
kabla Bunge halijaisha nataka niwe mwanachama Hai....
Tatizo kubwa la Zitto ni msimamo. Hana tofauti na Spika Mstaafu Sitta. Sisi wengine kwenye siasa za Nchi hii tumo tangu 1975! Hata sijui Zitto alikuwa wapi wakati huo.pongezi za nini wakati zitto alisema wazi kuwa ikiwa westminster system itafuatwa ambapo mwenyekiti wa chama ndiye anakuwa kiongozi wa upinzani basi yeye angekubaliana na uamuzi huo na kumuunga mkono mbowe lakini ikiwa american democracy style ingefuatwa basi angegombea...maana kimarekani huwa ni gombea goli..
mi nadhani Zitto ni mkomavu sana kidemokrasia kuliko wengi wetu hapa jamvini...na ni kwa sababu ya huo ukilaza wetu ndiyo kila mara tunamuona kama msaliti ingawaje ameshasema mara kadhaa...kamwe hatokisaliti chama alichoshiriki kukijenga..Zitto ameingia chadema akiwa sekondari kwao kigoma..si kama wengi wetu humu ambao mpaka juzi hapa 2005 tulimpigia kura kikwete.....ni baada ya slaa kulipua mafisadi pale TMK ndiyo baadhi humu wakaanza kujua alah..kumbe kuna upinzani!!!!
tofauti na wanasiasa wengi wa kiafrika na mashabiki wao...kwao upinzani maana yake ni kutaka kuleta mgawanyiko na ni uadui..hatujui kushindana kwa hoja...ni kwa mantiki hiyo mara nyingi zitto anashindwa kueleweka katika macho ya 'wanaojiita' wapinzani:smile-big: