Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,236
Huwa sishangai zitto kutoa maneno ya namna hiyo na mara aote nimekuwa niandika na kuwatzhadharisha sana watz kuhusu zitto.........ni rahisi sana kumfananisha zitto na akina augustine mrema........nitaendelea kusema kuanzia pale nilipokosa imani moja kwa moja na zitto ni pale alipokubali kununuliwa na rostam na lowasa ili atumie umaarufu wake kidogo kuwashawishi watz mitambo ile chakavu inunuliwe mpaka akatofautiana na viongozi wake na pia wana ccm wenye mapenzi mema na nchi hii.............tangu hapo ndipoi nilipoona jinsi kijana huyo anavyoweza kuwa msaliti hapo baadaye.................hakuna asuyeijua ccm walivyowanafiki kwa kuwanunu watu kwa bei rahisi na zitto yumo ndani japo yupo mguu mmoja ndani mwingine nje