Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Malaria Sugu alitabiri kifo cha CHADEMA ndani ya mwaka mmoja. Si ajabu ni kutokana na kuwa na uhakika kwamba washawateka potential persons kama akina Zitto. Lakini kama atahama atakuwa ameisaidia sana CHADEMA kuliko kuendelea kuwa ndani ya CHADEMA na huku ni puppet wa mafisadi. Tunamtakia kila laheri katika kufanya hayo maamuzi yake. Na tungependekeza afanye maamuzi hayo mapema ili kuepusha uwezekano wa kuendelea kuibomoa CHADEMA.
 
kigoma imetoa wabunge wanne wa NCCR ukimwuliza Mbatia hawajui hata kwa majina.
Mkuu Stein,
Naona ushabiki wako kwa chadema unakufanya uchume dhambi ya Uongo, Kwa taarifa yako wabunge wa NCCR ni Marafiki wa Karibu wa Bwana Mbatia, na Baadhi ya magari waliyoyatumia katika kampeni zao, ni mali binafsi ya Mbatia.
 
ZITO = Majivuno + Masifa+Zarau+ ubinafisi
 
Bora kwa kweli JK aliwachakachua, mmeanza kutoana NGEU asubuhi kweupe namna hii, mhhmmmm. Tatizo tu ni viji ruzuku vimeongezeka hakuna kingine hapo.
Are you also part of great thinkers? Hivi hapa suala la Ruzuku limeingiaje? Mbona watu mnapenda chokochoko hivyo? Kweli CCM ina Makamba type za kumwaga.
 
Embu angalia kitendi cha mwenyekiti wa chama Mbowe mwaka huu kutogombea na kumpisha Dr Slaa huwezi kuta kwenye chama kingine.
Ni hayo tu

Aisee! Mbona unawalisha watu kasa humu? Hiyo NCCR inayoisakama, mwaka 2005 aliyegombea urais alikuwa tu mjumbe wa halmashauri kuu (Dr.Mvungi) na 2010 aliyeombea ni Mjumbe wa Baraza la udhamini wa chama (Mhe.Rungwe) sasa huo upekee wa sifa ya Mbowe kama mwenyekiti kupisha wagombea wengine inatoka wapi?
Wana JF, kuwa shabiki wa chama ni sawa, lakini tumieni ukweli katika ushabiki huo!
 
Zitto Kabwe Kigoma North MP Hon. Zitto Kabwe with Malaysian ex PM Tun. Dr. Mahathir Mohamad after a discussion in his Office at Petronas Twin Towers, Kuala Lumpur.
Zitto is in Malaysia on a private visit at the invitation of Tun. Dr. Mahathir Mohamad to learn more on the Malaysian development experience and the palm-oil industry.




 
kiongozi pekee makini wa chadema akiendelea kuangalia ni vipi anaweza kukuza kipaji chake na kuachana na longo longo za wahuni Slaaa na Wapuki Mbowe
 

upo sahihi
 
Ni tamaa tu anazo, lengo lake ni kugombea Urais mwaka 2015 na ameshagundua akiwa ndani ya Chadema hatapata hiyo nafasi. Kama ataondoka aondoke, Chadema ipo na itaendelea kuwepo.
 

:target: tutashukuru sana haka ka dogo kakitoka maana sasa kanapanda wkubwa wake vichwani kamelewa sifa..wachaa kaeende replacement yake bungeni tayari Kamanda Mnyika...:yuck:go away
 
:target: tutashukuru sana haka ka dogo kakitoka maana sasa kanapanda wkubwa wake vichwani kamelewa sifa..wachaa kaeende replacement yake bungeni tayari Kamanda Mnyika...:yuck:go away


kumbe huyu kidume anawapanda wakubwa zake eeeh?
 
Ni tamaa tu anazo, lengo lake ni kugombea Urais mwaka 2015 na ameshagundua akiwa ndani ya Chadema hatapata hiyo nafasi. Kama ataondoka aondoke, Chadema ipo na itaendelea kuwepo.

na ni kweli hatopata kwa sababu mna nia padri ashike nchi, kwa taarifa yenu ata yesu akishuka hataweza kushika hatamu kwa style hiyo. chadema ni udini, ukabila na ubinafsi wa akina mbowe ndio unaotia kinyaaa kwa walio wengi. nimegundua na sasa subirini mtaona chadema hii kama itakuwa hivi 2015. shame on you, mabaradhuri wakubwa!!!!!!!!!!!! Zitto tambaa ndugu yangu watakuua hao kama chacha wangwe...
Chadema finito..........................
 

Anachelewa kuhama, aondoke! Stupid!
 
:target: tutashukuru sana haka ka dogo kakitoka maana sasa kanapanda wkubwa wake vichwani kamelewa sifa..wachaa kaeende replacement yake bungeni tayari Kamanda Mnyika...:yuck:go away

hizo ni chuki binafsi, uwezo wa zitto utamlinganisha nani ndani ya chadema????? wengi wao wamekosa nidhamu na hawana hekima. Si padri slaa wala si mbowe mwenye uwezo wa kujenga hoja kumzidi zitto, hammuwezi yule bwana mdogo ni kichwa ila kwa vile si mkristo na si mchaga ndo mnataka kumpoteza.
 

Ni kweli kabisa Zitto aende popote anapotaka, Chadema ilikuwepo kabla yake hivyo hatitikiswi na lolote kutoka kwake.

Chadema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Najaribu kuusemea moyo!
Nikama vile he used the wrong route to go where he wanted. Along the way akagundua njia aliyoichagua kufika huko ina miliama na mabonde na yawezekana yy akawa tu grader kusawazisha na akisha maliza asiruhusiwe kupita tena hapo barabarani kwani kazi yake itakuwa imekwisha kamilika.....Sasa anagundua laiti angejua!!!! Ilikuwa nirahisi tu kama angepita kunakotakiwa sasa afanye nini?

Upiganaji una garama jamani! Hata Nyerere alifanya calculation vizuri...kama sivyo kwanini aliamua kuuachia uwaziri mkuu wakati huo?

Na haya ni mawazo tu tena njozi za mchana kabisa yaani mtu hapa alichoka kubonyeza keyboard kuandika mambo yale yale ya kilasiku akaamua kukata kiu...So kwa wenye hekima na busara msione shaka kupotezea!
 

Hadithi za ukabila na udini munazozikuza nyie watu wa CCM kuna siku mutavuna mulichopanda uzuri wake hakutakuwa na wakupona
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…