zito unatuabisha please, ikiwa sisi wananchi wa kawaida tunawaunga mkono wewe mbona upo kinyume unajua hatupendi hayo mambo yako , tulikuamini sana ila sasa unapoenda sio, ivi unajua kuwa sisi tuna uchungu na nchi hii na tumekupa tu dhamana ya kutuwakilishi, ona akina Warioba, Jaji Mkuu maneno yao yantutia moyo .
Dear Zito , still you have an ample to change tunakupenda na tuna kuamini kindly usituangushe wala usituhudhunishe, when you fight you need to be risk taker, all the best,
MZEE GOMEZI
ZITTO anahitaji uenyekiti wa kamati hasa ile ya hesabu za mashirika ya uma. Sasa atafanyaje ili asipewe mtu wa NCCR au CUF ni kujifanya kuwa yeye haungi mkono mamabo yanafanywa na CHADEMA. Anapenda vyeo sana huyu jamaa kwa hiyo huwa anafanya lolote kwa maslahi yake binafsi ya kupata vyeo. Ni bora angenyamaza kimya ingawaje kutokwenda pia ni credits kwa CHADEMA kuliko angeenda halafu angebaki bungeni wakati wenzake wameendoka ingekua more worse.
sikuona sababu ya Zito kwenda kuongea kwenye vyombo vya habari, ulishawaona lini sisiem wakitofautiana na kwenda kukimbilia vyombo vya habari, tunajua kuwa kuna watu ndani ya chama wanatumiwa vibaya nasema mtapita , mimi hapa simuelewi zito hata kidogo kwani angekaa kimya kungemuumiza nini kwanini akimbilie vyombo vya habari? anashindwa hata na shibuda ameongea ki mafumbo, inauma sana watu wanapoleta mzaha wakati wanatuwakilisha
Shapecha yaani uko right kabisa!
Hakuna kingine zaidi ya hiki, huyu bwana inaonekana kuna faida aliipata huko na kwenye swala la DOWANS sasa anataka kutowaudhi wafadhili wake ili akumbukwe kwenye hizo kamati, hakuna kingine ni tamaa na ubinafsi kwa mjinga huyu, ameniudhi sana kwa kweli!! Kabisa i recall his DARUSO days!!
Hivi hizi kamati zinachaguliwaje bungeni? manake naona dogo sasa amekuwa prostitute wa kisiasa!