ukifika uchaguzi atabadilika tu huyo mrundiZitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
ukifika uchaguzi atabadilika tu huyo mrundiZitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
Nikuulize wewe Bwashee unaye kihusisha hicho chama na udini! Udini upi basi kwa mtazamo wako?Hahahaaaa..... Kwani Msigwa, Sugu, Lisu, Makene ni walutheri bwashee?
Naam!Wachumia tumbo haitajiki digrii moja wala mbili kuwatambua..
Kama Mh.Lowassa alichafuliwa na kusafishwa..Mama Suluhu naamini ataongeza umakini na hawa wafuata upepo la sivyo tushageuzwa mnada wa watu kupigania madaraka badala ya kuleta maendeleo ya kweli..
Maana unafiki unataka kumshushia Hayati lawama utafikiri mamlaka yake ilitoka nje ya Dunia..yawezekana labda ndio maana safu inabadilishwa..mwisho wa siku kila kitu kitajulikana TU!
Mwenyezi Mungu atujalie UHAI
Hta mimi kwaleo uhuru huu umenitosha. Maana tulibanwa mbavu ajabu. Unajua njaa ikikushika kikamilifu, ukapewa ugali na kisamvu kisichoungwa kitakutosha na wala hutakuwa na muda wa kuuliza wali na nyama au Pilau. Hayo tutajuana kesho lakini kwa leo inatosha.“Nimekua nyakati ambazo siasa ni ushawishi wa hoja. Nimejifunza siasa na kushiriki siasa wakati huo. Miaka 6 iliyopita ilikuwa migumu sana kwangu kwani siasa ilikuwa nguvu, vurugu, uporaji, mauaji nk. Ninafuraha sasa naona siasa za ushawishi zinarudi. Kwangu Mimi Uhuru huo UNATOSHA.” Zitto Kabwe.
NB:
Uhuru haupimwi kwa uchaguzi wa majimbo mawili, kwangu uhuru utapatikana siku tunapata, Tume huru ya uchaguzi uhuru wa vyombo vya habari, serikali inayoheshimu haki za binadamu, freedom of expression, Katiba Mpya.
Zitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
Mkuu naomba kufahamishwa udini wa zito ni upiZitto could make a good politician mpaka aache udini.