Zitto anasema uhuru anaopata kwa sasa unatosha

Zitto siyo mtu wa kumuani hata kidogo
Tumuamini nani sasa.



Alafu wewe BABATI na unafiki wenu mgombea wenu alivyokuwa ananadi kura kanisani kwa kusema zamu ya Waluther kuna kuna kiongoz yoyote hapo saccos alimpa onyo?

AU ULIKUWA SIO UBAGUZI WA KIDHEHEBU.

Tulizeni bongo hata uwepo ukristo pekee yake bado bongo za kiafrika zitabaguana kidhehebu na kikanda.
 
CCM haina dini bwashee!
Hiyo Chadema ni dini gani? Ukitaja Ulutheri basi uje na majibu kabisa ya haww watu iwapo nao walikuwa/ ni Walutheri pale Chadema (Halima Mdee, Profesa Safari, Mabere Marando, aliyekua Katibu Mkuu Dr. W. Slaa, nk.)
 
yinyi ndio udini unawasumbua, acheni kuangalia mambo kwa angle hiyo, mnachojidai kukemea ndiomkinacho nwasumbua.
Ukatae, ukubali! Ila mwisho wa siki ukweli wa jambo hili anaujua Zitto mwenyewe.
 
Uhuru wa kweli ni uhuru aliotuletea Magufuli.

Wananchi wamepelekewa zahanati almost kila kijiji. So wapo huru kupata huduma ya afya.

Wananchi wamepelekewa umeme kwa sasa wapo huru kutumia umeme kufanya uzalishaji na matumizi ya nyumbani.

Wananchi wanapita kwenye barabara nzuri, wapo huru kusafiri bila kikwazo cha barabara mbovu.

Maji kila kona ya miji.

Amejenga bwawa la umeme litaloingiza umeme mwinngi kwenye gridi ya taifa hivyo wananchi watakuwa huru zaidi kutumia umeme kuzalisha mali.

Ujambazi ulikomeshwa kuanzia kwenye mitaa, mabenki mpaka kwenye biashara.

Vijana watafutaji kama machinga, mamalishe, bodaboda nk walipewa uhuru wa kufanya biashara za kujitafutia popote ilimradi awavunji sheria.

Uhuru wa kweli ni kumpa maisha bora mwananchi wa kawaida.

Huu uhuru wa Zitto na wenzake ni wa kufanya siasa za chuki huku wao wakijaza matumbo yao.
Ungekuwa huo ndio uhuru Gadafi asingeuawa mtaroni,Saudi Arabia pasingekuwa na wapinga serikali na nchi nyingine nyingi.
Tatizo kubwa ni kuwa watu hawasomi historia na waulizi.
Marehemu JPM amefanya mambo makubwa ,nakkubali lakini kuna ambao pia walifanya makubwa kuliko yeye.
Tazara na mabwawa ya umeme ya Nyumba ya Mungu na Kidatu na Mtera (Sio Magufuli).
Kwa maiak mitano pamoja na zahanati na umeme vijijini na barabara za lami tayari tulishakuwa brain washed na tukaingizwa woga usio kifani.
 
Hiyo Chadema ni dini gani? Ukitaja Ulutheri basi uje na majibu kabisa ya haww watu iwapo nao walikuwa/ ni Walutheri pale Chadema (Halima Mdee, Profesa Safari, Mabere Marando, aliyekua Katibu Mkuu Dr. W. Slaa, nk.)
Walutheri siyo dini ni dhehebu bwashee!

Naona unataka kuwaibua vifutu.
 
“Nimekua nyakati ambazo siasa ni ushawishi wa hoja. Nimejifunza siasa na kushiriki siasa wakati huo. Miaka 6 iliyopita ilikuwa migumu sana kwangu kwani siasa ilikuwa nguvu, vurugu, uporaji, mauaji nk. Ninafuraha sasa naona siasa za ushawishi zinarudi. Kwangu Mimi Uhuru huo UNATOSHA.” Zitto Kabwe.

NB:

Uhuru haupimwi kwa uchaguzi wa majimbo mawili, kwangu uhuru utapatikana siku tunapata, Tume huru ya uchaguzi, uhuru wa vyombo vya habari, serikali inayoheshimu haki za binadamu, freedom of expression, Katiba Mpya.

Zitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
Kila jambo ni hatua. huwezi kupata vyote kwa wakati mmoja.
Zitto yuko sawa.
 
Uhuru wa kweli ni uhuru aliotuletea Magufuli.

Wananchi wamepelekewa zahanati almost kila kijiji. So wapo huru kupata huduma ya afya.

Wananchi wamepelekewa umeme kwa sasa wapo huru kutumia umeme kufanya uzalishaji na matumizi ya nyumbani.

Wananchi wanapita kwenye barabara nzuri, wapo huru kusafiri bila kikwazo cha barabara mbovu.

Maji kila kona ya miji.

Amejenga bwawa la umeme litaloingiza umeme mwinngi kwenye gridi ya taifa hivyo wananchi watakuwa huru zaidi kutumia umeme kuzalisha mali.

Ujambazi ulikomeshwa kuanzia kwenye mitaa, mabenki mpaka kwenye biashara.

Vijana watafutaji kama machinga, mamalishe, bodaboda nk walipewa uhuru wa kufanya biashara za kujitafutia popote ilimradi awavunji sheria.

Uhuru wa kweli ni kumpa maisha bora mwananchi wa kawaida.

Huu uhuru wa Zitto na wenzake ni wa kufanya siasa za chuki huku wao wakijaza matumbo yao.
Makaburu ya SA yalijenga hospitali kila sehemu, barabara, maji elimu bure lkn bado wananchi walidai uhuru.
 
“Nimekua nyakati ambazo siasa ni ushawishi wa hoja. Nimejifunza siasa na kushiriki siasa wakati huo. Miaka 6 iliyopita ilikuwa migumu sana kwangu kwani siasa ilikuwa nguvu, vurugu, uporaji, mauaji nk. Ninafuraha sasa naona siasa za ushawishi zinarudi. Kwangu Mimi Uhuru huo UNATOSHA.” Zitto Kabwe.

NB:

Uhuru haupimwi kwa uchaguzi wa majimbo mawili, kwangu uhuru utapatikana siku tunapata, Tume huru ya uchaguzi, uhuru wa vyombo vya habari, serikali inayoheshimu haki za binadamu, freedom of expression, Katiba Mpya.

Zitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
CHADEMA na Zitto, CCM na Tundu Lissu.

Mmebakiza risasi 36 tu.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom