Ha ha ha ha haaaaa! Arusha ipi?
Mmebaki kupiga majungu ya kike bila ushahidi,zitto angekuwa anapiga kimya na nyinyi ushahidi mnao thubutu wachaga wangekesha mitandaoni kumwaga ushahidi ili aondoke kulinda shamba la mahindi(chadema)ili manyani yamalize kula mahindi .
Siku hizi umebadili jina?
Vya halali huli ila haramu kwako halali,
Huna usafi wowote katika ardhi ya dunia hii,
Wafanyie usanii watanzania wasiokujua, lakini tangu sasa maovu yako yote tutawapa watu wajionee wenyewe,
Mahakama bora kuliko zote duniani ni mahakama ya umma tu,
Hujui kuwa mbowe na slaa ndiyo waliobadilisha katiba ya chadema kinyemela ili wabaki madarakani milele jitambue hujui unalosema mkuu.Yani ukiwa na njaa unakuwa na majungu na mbinafsi?
Yani hizo tabia ni tabia za mtu mwenye njaa kweli?
Kwahiyo makamanda wanatakiwa wawe kama Ndesamburo, Mbowe and the likes wenye mawe yao ya kutosha sio?
Hii aina yako mpya ya kufikiri inafurahisha.
Hapa Arusha wenye akili zao hawataki hata kumsikia, wanatamani uchaguzi ufanyike leo waondoe hii kadhia mjini kwao, amebaki na kundi la vijana anaowanunulia viroba ili waandamane na kufanya fujo ili ionekane ni NGUVU YA UMMA ambayo bado inamuhitaji. Lema kaikuta Arusha ikiwa na Amani, aiache ikiwa na Amani. atuachie ARUSHA YETU ikiwa shwari! Fujo akazifanyie huko MOSHI, si ndio kwao?
Kamanda! Mkikaa kwenye vijiwe vyenu ndiyo mnadanganya hivyo.kwani waliomuhonga HAMMER hawana uwezo wa kumlipia kodi tu ya gari?
Hapa upumbavu ndiyo unaosumbua watu kweli kila mtu anayo mapungufu yake lakini hawa wanaomsemea mabaya zito waseme zitto kafanya nini na wapi kama wakinipa mifano nitaelewa lakini kupanga kumchafua zito kijinga bila ukweli wowote ni upumbavu kamwe hawataweza kumwathiri zito kirahisi kwa uroho wao tu wa kutaka kuwa viongozi wa chadema wa milele.Toeni hizo facts hadharani vinginevyo mna chuki binafsi na Zitto.
Mnasita nini kama sio wanafiki na waongo wakubwa??!!!
Toeni hizo facts hadharani vinginevyo mna chuki binafsi na Zitto.
Mnasita nini kama sio wanafiki na waongo wakubwa??!!!
...teh teh nayale mamilioni yaliyofichwa ujerumani ungeyakataa ningejua kweli wewe ni muungwana,kwa siri unatafuna,vinavyoonekana unavikana. Kumbuka wanaokusaidia ndo wanatoa siri ikiwa pamoja na mmoja wa wahasibu wa Mohamed enterprises jina kapuni kwa usalama wake...
Mkuu umeuliza swali zuri sana,Ni msimamo mzuri wa kutenda unachohubiri.Wabunge wanachukua mushahara isiyokatwa kodi.Ni mbunge gani aliyewahi kugomea mshahara usiokatwa kodi?
Ongezeko la mshahara kwa wabunge halijawahi kupingwa pamoja na kuwa ni wizi kwa wananchi Tunahubiri tunachotenda?
Ushahidi ulitolewa na Jason Bournie hapa jukwaani na Mods wakaondoa bandiko hilo ndani ya masaa mawili...kutokana na bandiko hilo Zitto alijibu haya kwenye huzi huu hapa >>>>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ngu-zenye-lengo-la-kunichafua-kupitia-jf.htmlMmebaki kupiga majungu ya kike bila ushahidi,zitto angekuwa anapiga kimya na nyinyi ushahidi mnao thubutu wachaga wangekesha mitandaoni kumwaga ushahidi ili aondoke kulinda shamba la mahindi(chadema)ili manyani yamalize kula mahindi .
nimekudharau sana , ni heri mwanangu wa wiki 2 anauwezo mkubwa wa kuchanganua mambo kuliko wewe !
yote haya watanzania tunayaona. na pia ni uzalendo kutoka kwa mzalendo mwenye uchungu na nchi yake.
shida iko pale anapokataa posho halafu anachukua mabilioni gizani, ambayo ndiyo malipo ya hovyo kabisa kupita zote. kuna maana gani ya kukataa posho za wazi halafu gizani anapokea mabilioni ambayo ni kodi za watanzania?
Ushahidi ulitolewa na Jason Bournie hapa jukwaani na Mods wakaondoa bandiko hilo ndani ya masaa mawili...kutokana na bandiko hilo Zitto alijibu haya kwenye huzi huu hapa >>>>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ngu-zenye-lengo-la-kunichafua-kupitia-jf.html
Katika majibu ya Zitto ...akuna alipodhibitisha kuwa tuhuma dhidi yake hazikuwa za kweli. maana kwa umakini wa Zitto alitakiwa ali'refute' tukio moja baada ya lingine katika bandiko lile...na hapo tungeweza kumuamini kuanzia hapo.
ile sumu bado unayoni msimamo mzuri wa kutenda unachohubiri.wabunge wanachukua mushahara isiyokatwa kodi.ni mbunge gani aliyewahi kugomea mshahara usiokatwa kodi?
Ongezeko la mshahara kwa wabunge halijawahi kupingwa pamoja na kuwa ni wizi kwa wananchi tunahubiri tunachotenda?
ukisha nidharau what next??