Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,122
- 14,901
Ile singo mpya ya lema haijatoka tu? Alituahidi leo ataiachia
Ameshaiachia, rudi huko nje ujionee mwenyewe. Mwaka huu tutasikia mengi sana.
Ile singo mpya ya lema haijatoka tu? Alituahidi leo ataiachia
zito aeleweki kweli ok fine anakataa posho ya bungeni kinafiq wakati hapohapo yeye na zoka wakikaa wanampatia mamilion ya fedhwaaa kupitia benki za ndani na.kwa classmate wake huko Germany. Refer thread ya jasorne bourne
Lema na wenzake wanasema kuchukuwa posho siyo dhambi. Kumbe Zitto kwenye posho kaishatoka yupo kwenye misamaha
Zitto kumbe hata misamaha ya magari umekataa duu!
zito wewe dume la mbegu mtu akileta ujinga mdunge mimba
Zitto katika Facebook wall yake leo.
Kuchukua au kutochukua posho za vikao kama mbunge ni suala la misingi (principles) na sio suala la uwezo kifedha. Kuna wabunge matajiri sana lakini wakachukua posho na wengine wa kawaida kabisa hatuchukui posho.
Sio posho tu, hata msamaha wa kodi wa kuingia magari nimeukataa sababu ya misingi tu, kwamba siwezi kuwa Waziri kivuli ninayepinga misamaha ya kodi wakati huo huo nikachukua misamaha ya kodi. Ninaamini katika siasa za kutenda ninachosema. Mjadala wa posho kwangu mimi nimeufunga toka Juni 8, 2011 nilipoacha kupokea posho za vikao.
Mwaka huo pia nilikataa msamaha wa kodi ya kuingia gari. Ni msimamo tu, hapa mtu hupendi msimamo wangu isiwe uadui, wewe endelea kuchukua posho, omba ziwe nyingi zaidi na wala sitatia neno kwenye msimamo huo japo nitaudharau maana posho za vikao ni kuwaibia wananchi ambao hawana maji safi na salama, watoto wao hawana walimu sababu Serikali haiwalipi walimu vizuri, kina mama waja wazito wanakufa kutokana na huduma mbovu za afya huko vijijini nk.
Haya ndio masuala ya wananchi wetu na sio kudai kuongezewa posho.
Lema njoo udungwe mimba hapa
Zito ni mfano wa kuigwa siyo hawa wanasiasa pori kama lema na wazee wake wanaomtuma.
wabunge wanywa viroba na bangi hawatufai
Kuna mada huju JF niliyoleta kwamba Lema afungwe gavana, lakini utetezi uliokuja na kunirushia mawe wanajua wanachadema wenyewe. Ukweli unabaki mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Ile ya kumrushia tofati Mwigamba Arusha haijaishia huko na sasa Lema anaanza kupambana na viongozi wa Chadema mitandaoni, hiyo ndiuyo niliyosema Lema hana busara, ana kiherehere, hafikirii kitu anachokifanya kabla ya kuchukua uamuzi, anashindwa kutumia vizuri ubongo wake. Afungwe GAVANA.
Lema na wenzake wanasema kuchukuwa posho siyo dhambi. Kumbe Zitto kwenye posho kaishatoka yupo kwenye misamaha