assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
hata kama unaungwa mkono na mtei+mkwewe kampan limited kwa wabishi wa kigoma utadance mzee wa viroba
Watanzania wa wapi sema wana Arusha wa maeneo ya Sakina na Stendi ya vifodi.
CHADEMA wana mengi sana ya kujifunza kutoka CCM. sema kinachowafanya wasitake kujifunza ndio kitakachowafanya wasikae wachukue dola maisha yao yote!
CHADEMA wana mengi sana ya kujifunza kutoka CCM. sema kinachowafanya wasitake kujifunza ndio kitakachowafanya wasikae wachukue dola maisha yao yote!
Siku hizi umebadili jina?
Vya halali huli ila haramu kwako halali,
Huna usafi wowote katika ardhi ya dunia hii,
Wafanyie usanii watanzania wasiokujua, lakini tangu sasa maovu yako yote tutawapa watu wajionee wenyewe,
Mahakama bora kuliko zote duniani ni mahakama ya umma tu,
ubunge wa miaka 3 unajidai je ungekua umekomaa kama zito siungetembea makalio nje
Mkuu KimbungaWakati mjadala huu unapamba moto nadhani mwaka 2011 au mwanzoni mwa mwaka 2012 niliwahi kusema kwamba posho zitatutagawa lakini wana JF wakanibeza kwa kusema kuwa zitanigawa mimi! Haya sasa yanaonekana wazi. Nilijua tangia mwanzo kwamba ndani ya CHADEMA Zitto ataonekana adui kwa sababu ya kukataa posho. Ilipoonekana kwamba Zitto anapata umaarufu kwa kukataa posho KUB akaja na santuri ya kulikataa shangingi la Serikali! Muda si muda tukaambiwa jamaa kalirudia analitumia lakini msiimamo wa Zitto ukabaki pale pale kwamba hataki posho hadi leo. Huu kwangu ni ushujaa badala ya usaliti. Kwa jambo hili la posho Zitto anabaki kuwa shujaa tu.
Tunaacha masuala ya msingi tunaanza kugombea posho! Zitto kasema hapokei na wengine wanapokea si waendelee kupokea tu bila kupiga mayowe.
Habari wakuu,
Naomba nianze kwa kusema wazi kuwa naamini mimi kama watanzania wengine wengi ni muathirika wa utawala dhalimu wa serikali ya CCM na hivyo ni mtu nae tamani sana kuona ukombozi unapatikana kwa gharama yoyote ile ili tuondokane na huyu mkoloni mweusi (CCM).
Mkuu huyu jamaa nayeitwa Zitto yeye anapiga mambo kimya kimya. Anatenda anavyoamini na si kusema asichokiamini.
Kuna mada huju JF niliyoleta kwamba Lema afungwe gavana, lakini utetezi uliokuja na kunirushia mawe wanajua wanachadema wenyewe. Ukweli unabaki mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Ile ya kumrushia tofati Mwigamba Arusha haijaishia huko na sasa Lema anaanza kupambana na viongozi wa Chadema mitandaoni, hiyo ndiuyo niliyosema Lema hana busara, ana kiherehere, hafikirii kitu anachokifanya kabla ya kuchukua uamuzi, anashindwa kutumia vizuri ubongo wake. Afungwe GAVANA.
Zitto kumbe hata misamaha ya magari umekataa duu!
Hapa Arusha wenye akili zao hawataki hata kumsikia, wanatamani uchaguzi ufanyike leo waondoe hii kadhia mjini kwao, amebaki na kundi la vijana anaowanunulia viroba ili waandamane na kufanya fujo ili ionekane ni NGUVU YA UMMA ambayo bado inamuhitaji. Lema kaikuta Arusha ikiwa na Amani, aiache ikiwa na Amani. atuachie ARUSHA YETU ikiwa shwari! Fujo akazifanyie huko MOSHI, si ndio kwao?
Bahati mbaya sana unajibu bila kusoma vizuri.
Akili za bangi hizo
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
toka usingizini hakuna ukombozi wala nini
viongozi wengi wa cdm wa awali ni wale waliokosa fursa ccm
ili kuganga njaa zao wakatimkia cdm kwa kichaka cha ukombozi
wanalaghai wananchi eti wanaleta ukombozi kumbe wanajokomboa wenyewe
amkeni nyie walaghaika cdm bila kuondoka kizazi cha slaa, mtei, mbowe
hakuna ukombozi ni makelele tu