Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,018
- 20,489
Siku hizi umebadili jina?
Vya halali huli ila haramu kwako halali,
Huna usafi wowote katika ardhi ya dunia hii,
Wafanyie usanii watanzania wasiokujua, lakini tangu sasa maovu yako yote tutawapa watu wajionee wenyewe,
Mahakama bora kuliko zote duniani ni mahakama ya umma tu,
Vya halali huli ila haramu kwako halali,
Huna usafi wowote katika ardhi ya dunia hii,
Wafanyie usanii watanzania wasiokujua, lakini tangu sasa maovu yako yote tutawapa watu wajionee wenyewe,
Mahakama bora kuliko zote duniani ni mahakama ya umma tu,