Zitto amshukia Lema kuhusu Posho

Zitto amshukia Lema kuhusu Posho

Status
Not open for further replies.
Wabunge wengi wanapenda posho. Kama una event unamwalika mbunge kamwe hatakuja kama huna posho! Na akifika usipompa posho basi ni ugomvi. Kama watoto. Mimi nimeyaona --- mara nyingi. Lakini pamoja na hayo, ninyi Zitto na Lema, acheni up.umbavu wa kutupiana mipasho hadharani. Kuna mambo mengi ya msingi ya kitaifa ya kuyajadili na kuyashughulikia. Kwa upande wangu, janga la kwanza la matumizi mabaya ya Serikali ni manunuzi (procurement). Zaidi ya asilimia 85 ya bajeti ya Serikali inatumika kwa manunuzi. Na huko ndipo wizi unapofanyika. Bei zinakuwa inflated hadi asilimia 1,000 (elfu moja). Sasa Zitto na wenzake waliangalie pia hili. La posho ni tatizo, lakini ni jepesi ukilinganisha na hilo la procurement. Again, achene upuuz.i wenu wa kupashana hadharani.
 
Wabunge wengi wanapenda posho. Kama una event unamwalika mbunge kamwe hatakuja kama huna posho! Na akifika usipompa posho basi ni ugomvi. Kama watoto. Mimi nimeyaona --- mara nyingi. Lakini pamoja na hayo, ninyi Zitto na Lema, acheni up.umbavu wa kutupiana mipasho hadharani. Kuna mambo mengi ya msingi ya kitaifa ya kuyajadili na kuyashughulikia. Kwa upande wangu, janga la kwanza la matumizi mabaya ya Serikali ni manunuzi (procurement). Zaidi ya asilimia 85 ya bajeti ya Serikali inatumika kwa manunuzi. Na huko ndipo wizi unapofanyika. Bei zinakuwa inflated hadi asilimia 1,000 (elfu moja). Sasa Zitto na wenzake waliangalie pia hili. La posho ni tatizo, lakini ni jepesi ukilinganisha na hilo la procurement. Again, achene upuuz.i wenu wa kupashana hadharani.

Lema ashukuru sana serikali ya Ccm imemuwezesha kuwa na.nyumba hapa mjini arusha. Kumiliki shangingi.etc
 
Tunaomba Zitto atueleze pia kuhusu lile briefcase la pale crdb ambalo alipanda nalo kwenye gari tinted.

Pia atueleze kuhusu ile akaunti ya Berlin Bank ya yule binti wa kijerumani.
 


zitto katika facebook wall yake leo.


kuchukua au kutochukua posho za vikao kama mbunge ni suala la misingi (principles) na sio suala la uwezo kifedha. Kuna wabunge matajiri sana lakini wakachukua posho na wengine wa kawaida kabisa hatuchukui posho.

Sio posho tu, hata msamaha wa kodi wa kuingia magari nimeukataa sababu ya misingi tu, kwamba siwezi kuwa waziri kivuli ninayepinga misamaha ya kodi wakati huo huo nikachukua misamaha ya kodi. Ninaamini katika siasa za kutenda ninachosema. Mjadala wa posho kwangu mimi nimeufunga toka juni 8, 2011 nilipoacha kupokea posho za vikao.

Mwaka huo pia nilikataa msamaha wa kodi ya kuingia gari. Ni msimamo tu, hapa mtu hupendi msimamo wangu isiwe uadui, wewe endelea kuchukua posho, omba ziwe nyingi zaidi na wala sitatia neno kwenye msimamo huo japo nitaudharau maana posho za vikao ni kuwaibia wananchi ambao hawana maji safi na salama, watoto wao hawana walimu sababu serikali haiwalipi walimu vizuri, kina mama waja wazito wanakufa kutokana na huduma mbovu za afya huko vijijini nk.

Haya ndio masuala ya wananchi wetu na sio kudai kuongezewa posho.


mheshimiwa zitto , kuna usemi wa kiingereza unasema "" never argue with a fool, people will not notice the difference""

mimi linalo nishangaza ni bw mbowe kuthubutu kuchukua jizi na jambazi na kulifanya mwana siasa, ina maanisha kuwa mbowe atakapo kuwa na madaraka ya umma atatuhalilishia majambazi mengi na mengine atayafanya mawazari ( i.e. Nishati, fedha, mali asili, tra, bandari nk....) jamani mbona hii nchi inaelekea pabaya , au huu mpasuko unao anzishwa na lema ndio njia ya mungu kuiokoa tanzania.

Jamani chadema inauliwa na viongozi wake,
 


Zitto katika Facebook wall yake leo.


Kuchukua au kutochukua posho za vikao kama mbunge ni suala la misingi (principles) na sio suala la uwezo kifedha. Kuna wabunge matajiri sana lakini wakachukua posho na wengine wa kawaida kabisa hatuchukui posho.

Sio posho tu, hata msamaha wa kodi wa kuingia magari nimeukataa sababu ya misingi tu, kwamba siwezi kuwa Waziri kivuli ninayepinga misamaha ya kodi wakati huo huo nikachukua misamaha ya kodi. Ninaamini katika siasa za kutenda ninachosema. Mjadala wa posho kwangu mimi nimeufunga toka Juni 8, 2011 nilipoacha kupokea posho za vikao.

Mwaka huo pia nilikataa msamaha wa kodi ya kuingia gari. Ni msimamo tu, hapa mtu hupendi msimamo wangu isiwe uadui, wewe endelea kuchukua posho, omba ziwe nyingi zaidi na wala sitatia neno kwenye msimamo huo japo nitaudharau maana posho za vikao ni kuwaibia wananchi ambao hawana maji safi na salama, watoto wao hawana walimu sababu Serikali haiwalipi walimu vizuri, kina mama waja wazito wanakufa kutokana na huduma mbovu za afya huko vijijini nk.

Haya ndio masuala ya wananchi wetu na sio kudai kuongezewa posho.
Kuna single imetoka tunaambiwa kuna anazopokea gizani sijui laki 7, sijui milioni mara hela za mafuta na hoteli. hebu tuambieni ukweli wa tuhuma hizo, maana kama ni kweli atakuwa anatuchanganya sasa!
 
Mmebaki kupiga majungu ya kike bila ushahidi,zitto angekuwa anapiga kimya na nyinyi ushahidi mnao thubutu wachaga wangekesha mitandaoni kumwaga ushahidi ili aondoke kulinda shamba la mahindi(chadema)ili manyani yamalize kula mahindi .

Sijakuelewa kamanda!
 
Hapa upumbavu ndiyo unaosumbua watu kweli kila mtu anayo mapungufu yake lakini hawa wanaomsemea mabaya zito waseme zitto kafanya nini na wapi kama wakinipa mifano nitaelewa lakini kupanga kumchafua zito kijinga bila ukweli wowote ni upumbavu kamwe hawataweza kumwathiri zito kirahisi kwa uroho wao tu wa kutaka kuwa viongozi wa chadema wa milele.
Ya kwenu ccm yamewashinda. Mnachochea watu wafarakane CDM. Mmeula wa chuya. Wasaliti wanatupwa nje mkawape ubalozi na wanaokosea wanarudishwa kwenye mstari kulingana na msimamo wa CDM.
 
yote haya watanzania tunayaona. na pia ni uzalendo kutoka kwa mzalendo mwenye uchungu na nchi yake.

shida iko pale anapokataa posho halafu anachukua mabilioni gizani, ambayo ndiyo malipo ya hovyo kabisa kupita zote. kuna maana gani ya kukataa posho za wazi halafu gizani anapokea mabilioni ambayo ni kodi za watanzania?
mkuu unaweza thibitisha madai yako au ndo zile propaganda unaendeleza kwa masilahi binafsi kwenye mambo serious kama haya.
 
Wana JF,
Nimesoma kutoka post ya kwanza mpaka hapa ni zaidi ya page 13 . Swali langu kwenu ninyi wooote mnaomuita Mh Zitto kuwa ni mnafiki na anafanya mengi ya gizani yasiyopendeza yeye kama Mwanasiasa
Mmesema kuhusu Bank ya nje alikoficha fedha , Mmesema kuhusu kuchukua fedha hapa CRDB na mengine mengi tu
Sasa kama haya yanakuja baada ya kuvalia njuga Urudishwaji wa Mabilioni yaliyofichwa nje ya nchi basi mtawapata Wajinga tu ILA kama mna ushahidi wa kweli kabisa , kwanini mnasita kuuweka hadharani?
Hivi leo nikiamka usingizi na kuanza kuandika kuhusu Mahusiano ya Yericko Nyerere na Ben Saanane kuwa wana mahusiano ya Kimapenzi alafu kwa kusema tu nliwaona mahala flani wakibusiana kwenye gari bila ushahidi walau wa picha ama chochoote mtanisadiki? Je ntakuwa sijawachafua hawa jamaa zetu?

Basi tusipende kuwatendea watu wengine yale ambayo hatupendi kutendewa

Tuacheni kuhubiri chuki na Unafiki, Kama mnao ushahidi wa machafu ya Zitto wekeni hapa na Uthibitisho ama vielelezo kama ushahidi
 
Bora yeye hachukui hiyo mnayosema kidogo je kuna mwingine yeyote asiye chukua posho tofauti na Zitto! mbowe alisema hatumii gari akaenda akalichukua kimya kimya! lkn huyu asiyechukua posho japo mnasema ni kidogo wote mnamtupia mawe. Keep on Zitto at the end of the day watautambua mchango wako.
 
Ikiwa Zitto hapokei posho ya 70000 lakini ya ile 700000 - 1000000 kwenye mashirika anapokewa, analipiwa ticket ya ndege na gharama za four star hoteli basi ni mnafiki. Kama hazipokei pia, ni mtu mwema.
 
yote haya watanzania tunayaona. na pia ni uzalendo kutoka kwa mzalendo mwenye uchungu na nchi yake.

shida iko pale anapokataa posho halafu anachukua mabilioni gizani, ambayo ndiyo malipo ya hovyo kabisa kupita zote. kuna maana gani ya kukataa posho za wazi halafu gizani anapokea mabilioni ambayo ni kodi za watanzania?

Wewe mungi ni kipofu kila baya ni wengine , kwa lema sawa KWELI KUNYATA ANYATE KINYONGA AKINYATA KICHECHE ANANYATIA KUKU POLE , MUNGI UPAMBE UNA MWISHO
 
...teh teh nayale mamilioni yaliyofichwa ujerumani ungeyakataa ningejua kweli wewe ni muungwana,kwa siri unatafuna,vinavyoonekana unavikana. Kumbuka wanaokusaidia ndo wanatoa siri ikiwa pamoja na mmoja wa wahasibu wa Mohamed enterprises jina kapuni kwa usalama wake...

Hapo mbona umemshitaki huyo mhasibu? Mhusika si anajua anayemsaidia ni mhasibu gani ama?
 
zito hizo ni propaganda nakufahamu sana ww ni mtu unaye tanguliza maslai yako kwanza na pesa unayo ilo liko wazi na ndo maana ubabaiki na vijisent vidogo hivi.
 
Zito tujuze vipi na posho nyingine za vikao visivyo vya bunge, unavyo hudhulia kwa kofia ya uenyekiti wa kamati ya bunge?
 
Maajabu thread hii inashabikiwa sana na magamba kina Ritz ha ha ha ha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom