Zitto amkaribisha Kafulila CHADEMA

Zitto amkaribisha Kafulila CHADEMA

He is like concubine. Ukivuliwa madaraka kwa maslahi ya wengi ndo unajiondoa miongoni mwao? Kafulila hafai kwenda CHADEMA, yeye na Mwenyekiti HENCHE ni samaki na ndoana majini. Ni mgogoro mtupu mnaoutafuta. Ni bora akaenda CCM kuliko kupokelewa na upande wowote wa upinzani. Kilichomuondoa CDM ni tamaa ya kuutaka uenyekiti wa BAVICHA ili wapange mikakati(na wenzake anawajua) ya kuutwaa uenyekiti wa CDM. sio siri. ninanukuu" David ni rafiki yangu hata akihamia wapi lazima nimpigie kampeni ya ubunge
Hivi kupanga "mikakati" ya kugombea uenyekiti kwenye uchaguzi ulio halali kikatiba huko chadema ni dhambi?!!!acheni kubaka demokrasia mchana kweupe nyie watu wa chama cha demokrasia,leo mnamkataa Kafulila wakati mnaweza kuishi shibuda!
 
aha wapi atakua si mtu makini afukuzwe saa tano usiku asubuhi amepata chama, amefikiri saa ngapi na nini kilimtoa chadema. Sasa atakua anatapatapa anahitaji muda Asubili CUf wamtose Hamadi kasema ataunda chama aende huko Peoples Power si wakuwachezea hawawezi kukubali kirahisi hivyo.
 
itakua poa tu si ni kwa ajili ya usalama wataifa letu bwana au we mwenzetu hupendi usalama wa taifa hili?

Hapana mkuu wanaitwa uhasama wa taifa na maisha hao,hujaskia wanataka ku kili hata EL baadaya kuona havuliki gamba?Soma Dira ya leo ujiridhishe
 
Aombe kwanza radhi, hakuna kosa lisilosameheka. Jana katika kikao pale Kisuruu Hall DKT wa ukweli alituambia hivi;
"katika siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu"
Welcome home again Mh Kafulila.
 
Chadema is willing to forgive Kafulila of his misconduct but that is contingent upon his own penitence. Should he express compunction Chadema won't have any reason whatsoever to bear grudge against him.
 
Nilikuwa najifunza Formula za Ms Excel leo mwalimu wangu akanifundisha formula hii hapa:

=ibange-i=bange

Good!

Kafulila ameponzwa na haraka zake. Otherwise angeweza kufanikisha mkakati wake.

Kama vp aende CCM wamkaribishe, wamtumie kisha wampotezee, au ajaribu TLP kwa Mrema au UDP kwa Cheyo ajaribu kuwang'oa wazee hao ambao wame-survive majaribio kadhaa ya kuwang'oa.

Ni Zitto Kabwe ambaye anaonyesha kujaribu kumsaidia rafiki yake. Chadema iachane na huyo Kafulila.
 
Kila binadamu ana uhuru wa kutoa maoni yake ktk kila jambo ambalo anafikiri linaweza likaleta maendeleo ktk nchi yake,na pia ktk siasa yapo mambo mengi ambayo kwa namna moja ama nyingine yakamuumbua mtu ama yakamdhalilisha au yakafanya watu tujue ni mtu wa aina gani may b anafaa kuwa kiongozi au hafai,kwa swala hili i think viongozi wa juu wa chadema watakuwa wanafahamu kuwa K... Anafaa kurudi km ataitaji au la ila ushauri wangu busara zitumike na viongozi wasiwe na Pupa. Na pia iangaliwe swala la utendaji na kama Jamaa anakubalika uamuzi ni wa kwao CDM.. Km hakubaliki kifuatacho kinajulikana tuachane na maneno mengii ....
 
Kafulila nenda ccm .kwingine hukuwezi.ccm kila mtu anaruhusiwa kutoa maoni yake bila bughudha yoyote.na uenyekiti kule sio uungu mtu kama vyama vingine .
 
Kama nia ya Chadema ni kulichukua jimbo la Kasulu Magharibi wamchukue Kafulila, ila jamaa siyo kabisa!
 
Habari zilizonifikia kutoka source ya kuaminika ni kuwa Kafulia amefanya kikao na Chadema leo kwa madhumuni ya kurudi kwenye chama hicho. Nimedikezwa kwamba ameona kwenda mahakamani ni ngumu na pia kukata rufaa ndani ya chama ni ngumu pia maana uwezekano wa kumsamehe ni mdogo maana anahitalafiana na mbatia kuhusu jinsi ya kuongoza chama. Mbatia yeye anataka chama kiwe ccm B wakati kafulila anataka chama kiwe cha upinzani

Ondoa upupu hapa, kwanza umeandika kama unakimbizwa
 
Kafulila aje tu mnafikiri CCM walikuwa wajinga walipomtumia RA na kulibakisha jimbo la Igunga? Hata kama CDM wataona Lowassa atawasaidia kushika dola na kutekeleza ndoto zao za kuwakomboa watanzania kwani kuna ubaya gani? Kisu ni hatari kukichezea lakini sometimes kinakuwa siraha ya kujilinda. Kuna mchangiaji mmoja ameshauri CDM ijifunze kushirikiana na hata wana CCM wanaoonekana kuwashambulia wanaweza kuwa msaada.

Kwa stage CDM ilipofikia wanatakiwa kuwa na mission na vision pana zaidi maana kadri wanavyokua na kupata wanachama vivyo hivyo wanazidi kupata maadui wengi tena wenye nguvu na uwezo mkubwa, kwa hiyo wakiendelea kutegemea mbinu zilezile za mwaka juzi eti kuogopa kupokea wafitini wao hawatafika popote, wasione aibu kukopi toka CCM wanavyowatumia kina Wassira, Tambwe ambao walikuwa mahasimu wao na wanavyowatumia kina Nape, Sitta mbali ya kukisaliti chama kwa kuanzisha CCJ lakini leo ndio wanaokinadi chama. Nashauri CDM kama Slaa anavyosema wanakuja na mbinu mpya ikibidi wafanye Head hunting kwa vyama mahasimu wao.
 
Back
Top Bottom