Zitto akutana na wahariri usiku huu Dar

Zitto akutana na wahariri usiku huu Dar

ACT hakiwezi kuwa chama kikuu Tanzania.

Na zaidi ya Ayatollah sidhani kama kinaweza kushinda kiti kingine cha ubunge.

zitto hapati tena ubunge hata kama atagombea mwandiga ( hili ndilo jambo asilolijua hadi sasa )
 
Jobless ananza kunyoosha makucha yake.

Chakula cha usiku?
 
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE , huwezi kutangaza chama kwa kuwanunulia waandishi wali maharage .
 
Agustino anamfahamu anaitwa mzee wa kiraracha alikuwa na nguvu kisiasa zitto hata nukta hafikii Leo yuko wapi?acheze na vyombo vya habari kama sumaye
 
hilp nilitegemea, ndio maana zitto alijitahidi kujitangaza ila jamaa walimchunia, na ataendelea kupotea, sasa hivi magazeti ili yauze ni lowasa na ukawa tu, act akauze katavi.
 
Nahisi anachokifanya ndio Majukumu ya kiongozi mkuu wa chama, nasubiri kuona mwenyekiti anatekeleza majukumu yapi?
 
ACT hakiwezi kuwa chama kikuu Tanzania.

Na zaidi ya Ayatollah sidhani kama kinaweza kushinda kiti kingine cha ubunge.

Hata Zitto hatapata ubunge, namsikitikia bora akagombee udiwani Mwandiga, anaweza kupata japo kwa mbinde.... analeta nyodo eti Ubungo, Kawe, Sgerea na Kahama wanamtaka, mi namshauri akagombee udiwani Mwandiga, vinginevyo ataanguia pua na ACT haitapata hata madiwani 10 Tanzania nzima
 
umesahau kuripoti bahasha za kaki zenye ujazo mithili ya Katiba pendwa
 
...kwa staili hii zito ni tapeli Wa siasa...
 
Zitto Kabwe ambaye ni Kiongozi mkuu wa ACT Tanzania usiku huu amefanya mkutano na wahariri wakuu wa vyombo vya habari Tanzania.

Mkutano na wahariri umeenda sambamba na chakula cha jioni katika hoteli moja katikati ya jiji.

Zitto ametumia nafasi hiyo kuwaomba wahariri wamsaidie kuitangaza ACT Tanzania ili kiwe chama kikuu cha upinzani na kilete mapinduzi ya kweli katika siasa za Tanzania
Now this is silly

Instead of supporting UKAWA kama ana nia ya kweli, yeye ameamua kushindana na wote aliowakuta

What is this now!!
 
CHAGGADOMO kwa MATUSI,Mwalimu atakuwa DJ ZERO MBOWE MWENYEWE.NI HATARI.MIDOMO MIREFU KAMA "NG'ONG'OI"
 
Back
Top Bottom