BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,544
Fisadi ni Mbowe,Lissu na Mnyika wanaokaa pa1 na magamba ili kujadili jinsi yakuongezewa posho nono! Wametulia tuliii wanaisubiri posho kwa uchu wa hali ya juu!
kwa maoni yangu zitto hapaswi kuchukua hata senti tano kwa malipo ya wabunge. mbona alishajiuzulu ubunge? anachukua kwa msingi gani? huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine