Zitto akataa posho ya mil. 238

Zitto akataa posho ya mil. 238

Ama Kweli you can not win with People...
Angechukua angelaumiwa..., anazitoa msaada pia lawama ?

Ama kweli Binadamu Mpuuzi, Ukimfadhili atakuuzi, Bora Mfadhili Mbuzi, Atakupatia Mchuzi..
 
Hata ingekuwa mimi ningekataa,ww unafikiri rostsm azizi amempa sh ngapi mpaka sasa hivi?unafikiri kwa jinsi watawala na wala rushwa wanaichukia chadema ukiweza kufanya kazi kama ya zito utapewa bei gani?
 
  • Thanks
Reactions: Pai
Zito! Zito! Muogope Mungu! Zile ulizoenda kuchukua CRDB zilikuwa halali yako? Zile za kigeni zilizopelekwa ujermani ktk a/c ya yule dada je zilikuwa halali yako? acha hizo ndugu ni aibu kwako kudanganya umma!

Unao uthibitisho wa unalolisema au unatokwa na povu tu. Walioanzisha hizo tuhuma Mbona hawakumpeleka mahakamani kama ml a rushwa achunguzwe au unaropoka tu. Jikomboeni acheni ulimbukeni. ..
 
Zito ni tajiri mkubwa sana,inawezeka ni tajiri kuliko wabunge wote
 
By Zitto,

Juzi nilipokuwa jijini Mbeya niliulizwa na wananchi iwapo nami nitachukua kiinua mgongo cha tshs 238 milioni kitakacholipwa kwa wabunge. Nimewajibu kuwa msimamo wangu upo wazi kwenye masuala haya.

Chochote ambacho sio haki yangu sitachukua. Fedha yote ya ziada ya
kile ninachostahili kwa mujibu wa sheria nitapeleka kusaidia ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi Shule ya Buhangija na Hospitali ya Saratani ya Ocean Road. Buhangija nilitembelea mwezi Aprili na kukuta watoto wanalala kwa shida sana.

Niliamua kusaidia juhudi zinazofanywa na Miss. Tanzania Briggite Alfred ambaye anajenga Bweni pale. Ocean Road ni mchango wangu katika kusaidia wagonjwa wa saratani, ugonjwa uliomchukua mama yangu Hajjat Shida Salum.

Source: His facebook page.

Huyu Zitto kweli ni akili kubwa. Muda si mrefu wanafiki na wapenda sifa nao wataanza kumuiga, japo moyoni hawapendi kuachia hiyo mihela.


Hicho anachostahili kwa mujibu wa sheria ni vema kikaainishwa, kama ni zote 238 au sehemu yake.

Na la pili sidhani kama ni sahihi kusema amezikataa, kimsingi amezipokea ila akapenda kufafanua namna atakavyozitumia. Kila anayepokea mafao hayo haramu ana namna zake za kuyatumia. Wengine watajiimarisha kiuchumi binafsi na wengine watazitumia kujiinua kisiasa kama alivyofanya Zitto..
 
  • Thanks
Reactions: Pai
Mnafiki sana huyu jamaa, na hili linadhihirisha kuwa kweli jamaa.ni wakala wa.CCM, hivi ZZK ana tofauti gani na Mpendazoe? Kwanini yeye alipwe wakati Mpendazoe na wengine hawalipwi na serikali hii ya CCM?
 
Kina Mbowe, Lema, Mnyika, kuchukuwa milioni 230 kila mmoja na kukaa kimya siyo wanafiki?

Wewe nafuu ungekaa kimya kwani hiki unachokifanya katika hii thread ni kuuweka ubongo wako UCHI, wewe ni mwanaCCM na CCM ndio chama chenye wabunge wengi Bungeni ni vema ungejenga hoja ya kuwashutumu hao wabunge wa chama chako kuhusiana na suala hili kwani wamekaa kimya kuliko kuandika upu uzi wa kishabiki usiotumia akili.
 
taratibu mkuu zitto hakufukuzwa, zitto alijiuzuru hivyo malipo ni halali yake. kama nahisi alifukuzwa leta ushahidi

Zitto alikosa sifa ya kuendelea kuwa mbunge baada ya kufukuzwa uanachama wa chama ambacho 'kwacho' alipata kuwa mbunge. Hakuwa na namna nyngine kisheria ya kuendelea kuwa mbunge. Au unataka kuniambia ulikuwepo uwezekano wa kuendelea kuwa mbunge ilhali si mwanachama wa CHADEMA? Hata wanaoshabikia kauli za kusema eti alijiuzuru naona kama hawajui wanachosema. Kujiuzuru unafanya pale ambapo unapokuwa na uhuru wa kuchagua kufanya hivyo au kuacha. Zitto hakuwa na uhuru huo. Ni sawa na yule Waziri 'aliyejiuzuru' wakati mbadala wake ameshateuliwa!
 
Mbowe kishawashika masikio hao!
Acha kuwa msukule. .au mpaka uombewe? Unao uthibitisho wa unalolisema au unatokwa na povu tu. Walioanzisha hizo tuhuma Mbona hawakumpeleka mahakamani kama ml a rushwa achunguzwe au unaropoka tu. Jikomboeni acheni ulimbukeni. ..
 
Aseme anazostahili kwa mujibu wa sheria ni ngapi? Mbona yeye analipwa wakati alifukuzwa kwenye chama chake na kuukosa Ubunge ? Mbona mpaka leo akina Danny Makanga na Erasto Tumbo , tangu walipofukuzwa UDP hawajawahi kulipwa mafao yao ? yeye analipwakwa utaratibu upi?

Ni lini CHADEMA walimfukuza Zitto?
 
Wewe nafuu ungekaa kimya kwani hiki unachokifanya katika hii thread ni kuuweka ubongo wako UCHI, wewe ni mwanaCCM na CCM ndio chama chenye wabunge wengi Bungeni ni vema ungejenga hoja ya kuwashutumu hao wabunge wa chama chako kuhusiana na suala hili kwani wamekaa kimya kuliko kuandika upu uzi wa kishabiki usiotumia akili.
Kwa hiyo wabunge wa UKAWA ndiyo waongee.
 
By Zitto,

Juzi nilipokuwa jijini Mbeya niliulizwa na wananchi iwapo nami nitachukua kiinua mgongo cha tshs 238 milioni kitakacholipwa kwa wabunge. Nimewajibu kuwa msimamo wangu upo wazi kwenye masuala haya.

Chochote ambacho sio haki yangu sitachukua. Fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa sheria nitapeleka kusaidia ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi Shule ya Buhangija na Hospitali ya Saratani ya Ocean Road. Buhangija nilitembelea mwezi Aprili na kukuta watoto wanalala kwa shida sana.

Niliamua kusaidia juhudi zinazofanywa na Miss. Tanzania Briggite Alfred ambaye anajenga Bweni pale. Ocean Road ni mchango wangu katika kusaidia wagonjwa wa saratani, ugonjwa uliomchukua mama yangu Hajjat Shida Salum.

Source: His facebook page.

Huyu Zitto kweli ni akili kubwa. Muda si mrefu wanafiki na wapenda sifa nao wataanza kumuiga, japo moyoni hawapendi kuachia hiyo mihela.


Kwa nini hakukataa zile za PAC?.
 
By Zitto,

Juzi nilipokuwa jijini Mbeya niliulizwa na wananchi iwapo nami nitachukua kiinua mgongo cha tshs 238 milioni kitakacholipwa kwa wabunge. Nimewajibu kuwa msimamo wangu upo wazi kwenye masuala haya.

Chochote ambacho sio haki yangu sitachukua. Fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa sheria nitapeleka kusaidia ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi Shule ya Buhangija na Hospitali ya Saratani ya Ocean Road. Buhangija nilitembelea mwezi Aprili na kukuta watoto wanalala kwa shida sana.

Niliamua kusaidia juhudi zinazofanywa na Miss. Tanzania Briggite Alfred ambaye anajenga Bweni pale. Ocean Road ni mchango wangu katika kusaidia wagonjwa wa saratani, ugonjwa uliomchukua mama yangu Hajjat Shida Salum.

Source: His facebook page.

Huyu Zitto kweli ni akili kubwa. Muda si mrefu wanafiki na wapenda sifa nao wataanza kumuiga, japo moyoni hawapendi kuachia hiyo mihela.


Kama kawaida huyu kijana ni mtu wa kutenda si maneno! Haya sasa wabunge wa UKAWA mufuate nyayo otherwise nyie ni wachumia tumbo tu kama wale wa CCM.
 
Posho hizo ni kwa mujibu wa sheria so atapokea maana ni mafao kwa mujibu wa sheria ......awadanganye wajinga , zile za posho alisema hatapokea mara atapelekea kwenye NGO yake huko Kigoma , muulizeni ziko wapi ? NGO yake ilipokea ngapi? Mnafiki sana huyu ....

Usiangaike kijana yeye anafanya ukiuzika mshauri huyo mbunge unayempenda na yeye atangaze! Kimya chao kinaashiria nini? Kama sio uchumia tumbo!
 
Back
Top Bottom