Hivi wewe unaongea nini,hivi Una akili timamamu kweli?
chama kikisema noo to mbunge au diwani,that's final,wahusika huwa wanakimbilia mahakamani ,that's why wana kuwa wabunge wa mahakama.
sasa wewe process IPI unayo iongelea hapa, kijana usizanie wote ni mbumbumbu Kama wewe.
alafu chunga maneno yako,kwa uandishi huu,ingekuwa jf ya zamani ungelamba ban ya week.
Nimemuelewa Zito kuwa kusingekuwa na ".....fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa Sheria ...."
asingetoa hiyo misaada.
Kama kawaida huyu kijana ni mtu wa kutenda si maneno! Haya sasa wabunge wa UKAWA mufuate nyayo otherwise nyie ni wachumia tumbo tu kama wale wa CCM.
Which line is he in?
1. Zitto atapokea posho hiyo, or
2. Zitto atakataa posho hiyo
Hiyo Habari ya kwamba atatumia vipi is not a current up front business!
Huu ndio uzalendo
Aseme anazostahili kwa mujibu wa sheria ni ngapi? Mbona yeye analipwa wakati alifukuzwa kwenye chama chake na kuukosa Ubunge ? Mbona mpaka leo akina Danny Makanga na Erasto Tumbo , tangu walipofukuzwa UDP hawajawahi kulipwa mafao yao ? yeye analipwakwa utaratibu upi?
Unajitoa ufahamu makusudi mkuu, basi wazalendo ni akina Lema..haa haa wa kuchukua malipo usiyostahili?
Nadhani ni zile alizotakiwa kulipwa katika utumishi wake bungeni kwa miaka yote 10 zile za nyongezo ni haramu!
Kwa upande wa Upinzani hakuna hata mtu mmoja anayeweza kufikia hata robo ya akili ya Zitto. well done zitto.
taratibu mkuu zitto hakufukuzwa, zitto alijiuzuru hivyo malipo ni halali yake. kama nahisi alifukuzwa leta ushahidi
By Zitto,
Juzi nilipokuwa jijini Mbeya niliulizwa na wananchi iwapo nami nitachukua kiinua mgongo cha tshs 238 milioni kitakacholipwa kwa wabunge. Nimewajibu kuwa msimamo wangu upo wazi kwenye masuala haya.
Chochote ambacho sio haki yangu sitachukua. Fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa sheria nitapeleka kusaidia ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi Shule ya Buhangija na Hospitali ya Saratani ya Ocean Road. Buhangija nilitembelea mwezi Aprili na kukuta watoto wanalala kwa shida sana.
Niliamua kusaidia juhudi zinazofanywa na Miss. Tanzania Briggite Alfred ambaye anajenga Bweni pale. Ocean Road ni mchango wangu katika kusaidia wagonjwa wa saratani, ugonjwa uliomchukua mama yangu Hajjat Shida Salum.
Source: His facebook page.
Huyu Zitto kweli ni akili kubwa. Muda si mrefu wanafiki na wapenda sifa nao wataanza kumuiga, japo moyoni hawapendi kuachia hiyo mihela.
Kumbuka hakustahili kupata hata senti moja huyo bwana baada ya kujitoa chadema na kuaga bungeni . hana haki ya senti tano acheni kuchezeshwa nahuyu bwana muongo . Ni rahisi kuwadanganya wabunge si wananchi huku uraiani.Mpendazoe alipewa sh ngapi? mbona yeye kwakuwa pro-CCM wamemuahidi kumpa wakati hayupo bungeni? Ndio maana CCM wanatuchezea watanzania hatuko critical ni kushangilia na kucheza ngoma basi. Zitto anakuambia tusiamini wanasiasa anajijua. Kama kuna vijana hawawajui wanasiasa jifunzen kwa mrema
ataje zilizo sahihi ni zipi na zisizo sahihi ni zipi coz hiz hela hapewi mkononi bali zitaingia kwa benki na hatutojua wal kuziona.
sema hauko critical wewe sio wote, kwa nini hastahili kupewa hata senti tano ili hali amejiuzuru