Zitto ajilipua, tusimtose

Hahaha...Bro I don't think you know what you are talking about,...People are suffering on the streets,Tanzanian never experience something like this before and after independence,There is a lot of fears on the eyes of citizen,It is like living in the ghost country,you never know when it is your time to be adopted by "unknown people"...

It is scaring!!!
 
Safi sana zitto hakuna watu act kwa hiyo watumie hawahawa 2020 utajua cha kufanya.
 
Usiniite kunguru we shoga... Pambana na mabasha zako.
 
Nakuelewa kiongozi... kuna kipindi baba ubaya alimfagilia sana huyu dogo
 
Usiniite kunguru we shoga... Pambana na mabasha zako.
Woga wako ndio umasikini wako,acha kukaa kwenye mitandao na kuanza kutisha watu.....,wacha wanaume wapambane na maisha,wewe kakae kwenye mkeka usubiri ubwabwa ule..
 
Akili ya zitto ni ya kujua mwenyewe,hasira zake ni kuona kitlya mkumbo na mama Ana Mghwira kula shavu yeye bado,na akili yake alifikiri atakua waziri mdogo wa madini,katoswa,ajiunge kwa wale aliowasaliti
Tatizo lako umejaa chuki binafsi na Zitto. Ndo mana huwez kuona wala kuelewa alichokiandika.
 

Sipingi maoni yako moja kwa moja hata kama umechanganya kiingereza na kiswahili bila sababubya msingi, sio mbaya umeamua kutuonyesha na ww sio haba kwa upande wa shule.

Turudi kwenye hoja ya msingi, wakati wa JK ilionekana kuna ufisadi mwingi kwa sababu aliruhusu uwazi wa serikali yake na uhuru wa vyombo vya habari. Huyu anaonekana anafanya mabadiliko kwenye mifumo lakini naweza kukuambia sio kweli, kwanza mambo mengi kwenye hii awamu yanafanywa kwa kificho na hakuna uhuru wa vyombo vya habari. Sasa hivi habari zinazotangazwa ni zile sana zinazoongozwa ba serekali. Hata maovu yanayotangazwa ni yale yanayoibuliwa na viongozi wa serekali ili kuaminisha kwamba serekali inafanya kazi. Mfano fuatilia matatizo yanayotangazwa ni yale yanayoibuliwa na waziri na mawaziri; wakuu wa mikoa na madc. Kama mifumo imebadilika mbona watu wanapiga tu mpaka viongozi wakubwa wafike ndio itangazwe? Migogoro ya ardhi bado ipo, ila nilimsikia kwa masikio yangu akikiambia kituo kimoja cha habari kwamba chenyewe kinaona habari mbaya ndio habari na kutolea mfano, kutangaza migogoro ya ardhi. Uliona Makonda alivyoitisha wenye migogoro walivyokuwa wengi? Kuna uwezekano saa hii upigaji ni mkubwa zaidi, lakini kutangazwa ni ngumu. Hapa huwezi kusema mifumo ameibadili wakati alichofanya ni kuzuia kutangazwa huo udhaifu.

Ukiangalia taasisi zote sasa hivi zinafanya sio kwa ajili ya kuwatumikia wananchi bali kumtumikia rais. Unasema labda ameamua kufanya hivi na kuzuia baadhi ya mambo kwenye awamu hii ya kwanza, lakini mbona amefanya hivyo kwa manufaa yake na sio ya taifa huku akihujumu waziwazi wapinzani wake? Huyu hawezi kubadilika na hata akipata awamu ijayo sioni akibadilika kwani sioni akifanya vizuri kwenye uchumi, na hapa ndio hasa anapogoma ukosoaji.
 

Hawezi kula peke yake. Wazungu hawatakubali. Ni ama ale na sisi wote - ambacho wazungu hawataki au ale na wazungu. Akila na wazungu wazungu watamlinda kama walivyo mlinda Mobutu na wengine.

Ukiona wazungu wanamchukia na kumhujumu mtawala wa nchi maskiin lakin yenye utajiri wa maliasili ujue kawabana. Lasivyo wana kulinda na kukusifia. Mifano IPO. Angalia chuki zao dhidi ya Gaddafi. Angalia walivyomlinda Mobutu.
 
Huyu jamaa aangalie. Hawa watu wasiojulikana wanaweza wakam pyu pyu pyu akawa Akwilinalized.
Bila mauaji hakuna ccm kabisa , nimemsikia Humphrey Polepole akimjibu Mbowe nikashangaa sana ! Hakika hiki chama kimekufa , nikajiuliza hivi huyu anayeongea kama walau anajua kusoma na kuandika .
 
SIASA NI DYNAMIC NA SIO STATIC,UNAENDA KULINGANA NA MDUNDO WA NGOMA.
Na ndio maana wenzenu walidata na mapigo yenu wakaamua kumleta magu,si mnaona anavyowahenyeshwa[emoji16][emoji16] sa' style ya kucheza na magu ndo mwaona kumchamba ndo solution hahah hahah hah eti dictator uchwara,jibu mnalo kumbe mmeshindwa kwenda na mdundo wake;jamani hao wakongwe pigeni nao battle taratibu msiwe na jazba[emoji16][emoji16][emoji16] mkiwachanganya na wenyewe wanajua pa kutokea,jazba zinawatoa mchezoni.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…