Zitto ajilipua, tusimtose

Zitto ajilipua, tusimtose

Anajiamini sana au kwa kuwa yuko nyuma ya keyboard lkn akukumbuke kuna watu wamekuwa maarufu sana kwa jina la wasiojulikana..
 
ninachojua ukivunja amri moja basi umevunja zote hakuna dhambi kubwa wala dhambi ndogo

Umejibu vyema,
Sasa kama ulikuwa unalifahamu hili kwanini ulitaka kuwatofautisha waliobadili gia angani na huyu waliyemwahidi cheo ?
 
Tumuunge mkono ni kwa manufaa ya wengi
 
Tumuunge mkono ni kwa manufaa ya wengi
 
Umejibu vyema,
Sasa kama ulikuwa unalifahamu hili kwanini ulitaka kuwatofautisha waliobadili gia angani na huyu waliyemwahidi cheo ?
sikutuka kutofautisha labda wewe ulielewa vibaya. ilisemwa zito haweza kuaminiwa kwasbb aliwasaliti wenzake/aliwahujumu wenzke mdio nikashangaa wenzake walihujumiwa kivipi wakati na wao waliwahujumu watanzania kwa kukaribissha mtu ?
 
Huyu Zitto anayetaka wapinzani waungane hivi anasahau kuwa kipindi cha JK alikuwa anaongozana naye safari nje ya nchi wakati wenzake wanapambana
Akiwa mwenyekiti wa kamati ya bunge kuna madudu alikuwa anayafichaleo yanaibuliwa
tatizo lake kubwa huu utawala umekuwa hauna time naye ndio maana sasa anajiona mpinzani ila ukweli anatafuta kick kwani amegundua nguvu aliyokuwa anadhani anayo haipo tena kwani hata chama alichoanzisha kina mbunge mmoja ambaye ni yeye mwenyewe na hata wanaotajwa kugombea urais kwa wapinzani hakuna anayemzungumzia ingawa kipindi kile alikuwa anazungumzia umri sasa hivi ana umri sahihi tuone kama atachukua fomu ya kugombea na pia uswahiba wake na January makamba sijui umeishia wapi maana wote wamebanwa
 
Huyu jamaa aangalie. Hawa watu wasiojulikana wanaweza wakam pyu pyu pyu akawa Akwilinalized.
Hapana siku hizi wana kukokobeach. Hiyo akwilinalisation was just an accident with a Godly blessing
 
Akili ya zitto ni ya kujua mwenyewe,hasira zake ni kuona kitlya mkumbo na mama Ana Mghwira kula shavu yeye bado,na akili yake alifikiri atakua waziri mdogo wa madini,katoswa,ajiunge kwa wale aliowasaliti

Vipi hata nawewe unakula shavu?? Nyie makend.e
 
Akili ya zitto ni ya kujua mwenyewe,hasira zake ni kuona kitlya mkumbo na mama Ana Mghwira kula shavu yeye bado,na akili yake alifikiri atakua waziri mdogo wa madini,katoswa,ajiunge kwa wale aliowasaliti
Daah ukiwa na watu kama huyu unategemea nini
 
Back
Top Bottom