Zitto ajilipua, tusimtose

Zitto ajilipua, tusimtose

uhujumu zaidi ya kukaribisha tulio waita mafisadi na kuwaweka kwenye list of shame?

Swali rahisi tu,
Dhambi Mbaya ni ipi kati ya hizi mbili ??
1. Kumuuza mwana wa Adamu kwa vipande 12 vya fedha na kumbusu ??
2. Kumkana mwana wa Adamu mara tatu kabla jogoo hajawika na kusema kwamba humjui mtu huyu ??

Kati ya hawa wa wawili ni nani aliyekuwa na uwezo wa kunyoosha kidole na kumhukumu mwenzake ???
 
Nina shida moja na ZZK sio ngangari akiminywa kidogo tu na nyongeza ya vipande vya shekeli anakuwa kama mkate kwenye chai...
unaushahidi wa maneno yako mkuu... maana kuna mahakama ya mafisadi na wala rushwa
 
Wanamuita sugu kwa jina lingine mr too. Hata mtoto wake demu wangu ananita sugu ah haaa.
Sugu utatoka tu. Wengine walilazwa ndani masaa kibao kisa jamii forums. Hawakuwa hata na account huko. Mkurugenzi yule bwana erick mapunda bila kujua vita ya mbele yake .sasa ameiba efd mashine na kumpa kimwana wake. Wahanga wale sijui kesi yao hata inaendleaje na wapo wapi
 
Wewe utakua zitto mwenyewe,sizitaki mbichi hizi,hadithi ya sungura na mkungu wa ndizi zama zilizopita
Mkuu umekuwa na mawazo kama yangu, ile comment nilipokuwa nasoma ikanipeleka kuona huyu ndiye...
 
KURA ndizo kila leo zinaendelea kuiweka CCM madarakani

Kama ni kura leo hii ccm ingekuwa kama KANU ya Kenya. Huo mchezo wa kutoka na box la kura kituoni kisha kulirudisha hata chama cha Dovutwa kingeshinda.
 
So sad for years now Kagame and Museveni are still surviving..!! Na kila udhalimu zitto aliotaja wanafanya..!

Ain't easy guys..!

Mzee wangu always tell me nikitaka kuridhika kwa kila nachotaka nisubiri nikifika mbinguni., so you may guys.!
The best thing is we dont have to believe whatever your old man has told..you..
 
Me nawaza tu zito amepatwa nanin Leo hii juu ya serikal hii mpaka aombe collabor ya wapinzani...kuna kipindi wapinzani bungeni walikuwa wanatoka nje wooote kuishinikiza serikal anabaki ZZK ndani na akamwagiwa sifa kedekede na haohao chichiem bungen..nawaza tuu..kwakwel Mzito simuamin akibanwa kidogo anaachia,nawaza tu ..

Sent from my Retro using JamiiForums mobile app
 
Siku zote asiyejiamini ndo hutisha watu, kwa kuwa jamaa muoga anatumia raslimali nyingi na style nyingi kujilinda kwa sababu anajua anachukiwa hata na mkewe.
 
Swali rahisi tu,
Dhambi Mbaya ni ipi kati ya hizi mbili ??
1. Kumuuza mwana wa Adamu kwa vipande 12 vya fedha na kumbusu ??
2. Kumkana mwana wa Adamu mara tatu kabla jogoo hajawika na kusema kwamba humjui mtu huyu ??

Kati ya hawa wa wawili ni nani aliyekuwa na uwezo wa kunyoosha kidole na kumhukumu mwenzake ???
ninachojua ukivunja amri moja basi umevunja zote hakuna dhambi kubwa wala dhambi ndogo
 
Kama ni kura leo hii ccm ingekuwa kama KANU ya Kenya. Huo mchezo wa kutoka na box la kura kituoni kisha kulirudisha hata chama cha Dovutwa kingeshinda.
Makamanda si mliamriwa kulinda kura zenu? Iweje sasa sanduku la kura liondoshwe kisha lirejeshwe na nyie mpo tu? Au nyie makamanda hewa. Au mlidakishwa hlf baadae mje kulialia humu!
 
Nilijiunga na chuo udsm 2002 palikuwa na wanafunzi waloitwa 202 kama sijakosea .hawa walikuwa wanafunzi wenye sifa na walikuwa wameombaa kusoma sociology. Wakanyimwa ufadhili.wakati ule ukiwa unalipiwa na wazazi wrwe kilaza kama bashite. Huyu mwamba alitupigania hadi tukapata ufadhili wa serikali. Raisi wa daruso alikuwa rugrmalila. Huyu ni mwanamapinduzi hasa.ila kuna mahali apipotoka. Na kudhani ana akili kuliko walio wengi...
 
Back
Top Bottom