Wewe utakua zitto mwenyewe,sizitaki mbichi hizi,hadithi ya sungura na mkungu wa ndizi zama zilizopita
Tunamuunga vp mkono mkuu? Kura zenyewe ndio hayo masanduku yanaibiwa na kurudishwa, maandamano risas zinarushwaNi kumuunga Mkono Zitto Kabwe.
Zitto, tuko kwenye kipindi cha mpito! Jaribu kuvuta subira! Kuhusu kura, muda hauko mbali. Ni 2020 ambayo inaweza ikukute hujajiandaa!
Aisee... haya majamaa yasiyojulikana sijui baba ubaya ameyaibulia wapi...Hapana siku hizi wana kukokobeach. Hiyo akwilinalisation was just an accident with a Godly blessing
Aliyesema nadhurika ni nani? Tuliza mshono upone.Sasa hapo wewe utazurika na nini? anakulipia ada au kukulisha?
Me nawaza tu zito amepatwa nanin Leo hii juu ya serikal hii mpaka aombe collabor ya wapinzani...kuna kipindi wapinzani bungeni walikuwa wanatoka nje wooote kuishinikiza serikal anabaki ZZK ndani na akamwagiwa sifa kedekede na haohao chichiem bungen..nawaza tuu..kwakwel Mzito simuamin akibanwa kidogo anaachia,nawaza tu ..
Sent from my Retro using JamiiForums mobile app
Akila na familia yake na watu wake ni sawa tu!!! Hata Mobutu aliwaaminisha wakongo kuwa afadhali yeye awe tajiri katikati ya maskini wakongo badala ya wazungu!! Akajenga jumba lenye uwanjwa wa ndege zake nyumbani kwao!! Alikuwa kama huyu!! Niwaulize kodi tunakusanya sana nini sababu ya umaskini? Tusifikiri kwa masaburi mkoloni mweusi ni fisi mbaya kuliko fisi mnyamaMi ntaanza kumpinga magufuli akianza kula na wazungu kupitia mikataba feki. Lasivyo mi nabaki na magufuli
Hapa umejibu hoja yake au umeamua kumshambulia tu?Akili ya zitto ni ya kujua mwenyewe,hasira zake ni kuona kitlya mkumbo na mama Ana Mghwira kula shavu yeye bado,na akili yake alifikiri atakua waziri mdogo wa madini,katoswa,ajiunge kwa wale aliowasaliti
Baada ya 10 years mtasema ulikuwa uongozi strong kuwahi kutokea Tanzania...mark my wordsNimewahi kusema uongozi huu ndio dhaifu kabisa kwa ushindani wa kisiasa. Na hili limedhihirika kwenye chaguzi mbalimbali za marudi zilizopita. Ni suala la muda tu wananchi waamke. Hapa Zitto kapiga mlemle
Baada ya 10 years mtasema ulikuwa uongozi strong kuwahi kutokea Tanzania...mark my words
Ndo yule jamaa aliyekasirika hadi akaamua kuripua mitambo na kusababisha nyumba ikashika moto!Zito rudi kwa yule mganga wako wa kikongoman umuombe msamaha na umlipe pesa yake,kwasababu kwa sasa hueleweki,umechanganyikiwa,mvuto kila siku unapotea,
During the JK era, the country was rotten to the core. Corruption has killed us. And we needed to exorcise the ghost of corruption. Tukahitaji mtu ambaye anaweza fanya major reforms in our entire system, akaja Magu. Na tunatakiwa tufahamu kila mtu ana mapungufu yake mengi tu cha muhimu ni kuvumiliana. Bado tuna changamoto nyingi sana kama nchi.Kwa bahati mbaya huwa sina maoni ya kufuata mkumbo. Leo hii kuna watu wanamsifu JK hapa, huwa nawaambiwa waziwazi hata JK hakuwa mzuri kwa wapinzani labda kama kipimo chake ni Magufuli. Kwangu mimi bado JK alikuwa rais mwenye msimamo wa wastani na aliyeheshimu demokrasia kwa kiasi chake. Magufuli ni rais mwenye maamuzi bila kujali madhara yake, kwa tabia yake hii akipatia anapatia kwelikweli, na akikosea anafunika hata lile alilopatia. Pia hajali demokrasia kwani sio mtu anayeweza siasa za mijadala bali amri.
Kweli kabisa, dikteta keshashindwa kutawala, kampeni ya viwanda ameshaisahau, bombardier kashindwa kununua sasa ameamua kuteka raia, kuagiza wanamgambo wa ccm(green guards) waue raia na kufunga wabunge wa upinzani...dikteta is a one term president...akikaa sana!
Acha woga,sio kila mtu ni kunguru kama wewe,Mh Zitto ameshajitolea muhanga kuwakomboa watanzania,,,kwani unafikiri yeye hajui kama kuna watu wasiojulikana!!? wewe kama nani kuwambia watanzania Zitto aangalie!! msitishe watu, watu wamechokaaa,hali mbaya mitaaniHuyu jamaa aangalie. Hawa watu wasiojulikana wanaweza wakam pyu pyu pyu akawa Akwilinalized.
Ndo yule jamaa aliyekasirika hadi akaamua kuripua mitambo na kusababisha nyumba ikashika moto!




Huyu jamaa aangalie. Hawa watu wasiojulikana wanaweza wakam pyu pyu pyu akawa Akwilinalized.