Zitto ajilipua, tusimtose

Zitto ajilipua, tusimtose

Nimewahi kusema uongozi huu ndio dhaifu kabisa kwa ushindani wa kisiasa. Na hili limedhihirika kwenye chaguzi mbalimbali za marudi zilizopita. Ni suala la muda tu wananchi waamke. Hapa Zitto kapiga mlemle
Tatizo wa kuwaamsha wako wapi?
Hawa wapiga madili uchaguzi unapofika?
 
Zito rudi kwa yule mganga wako wa kikongoman umuombe msamaha na umlipe pesa yake,kwasababu kwa sasa hueleweki,umechanganyikiwa,mvuto kila siku unapotea,
 
Zitto mjanjamjanja sana. Hataji jina la nchi wala la mtu wala la malaika japo kila mtu anaelewa nini kinasemwa.
 
1st shoemaker.. The police are coming

2nd shoemaker... Run run quickly out of my way

3rd shoemaker... But we have to stand firm and fight for our right...
 
Nadhani hilo la kummwagia sifa halitakuwepo tena na wangeweza kumfukuza kanisani wangefanya hivyo.

Hawa maaskofu natamani kama wangekuwa hawana kaunafiki flani kalikojificha... maana Pogba akienda makanisani wanamwagia sifa kuwa yeye ni chaguo la maulana...
 
Mbunge Zitto ni mwoga

Leo hii Tshangirai anakumbukwa na waZimbabwe,Kiiza Besiyge na waganda...na Kenya yupo Odinga

Yeye anataka akumbukweje sasa.!?
au anasubiri hadi Lissu arudi.?

Vile vitabu vingi vya kimapinduzi anavyosoma kila mwaka,huwa ni theory, sasa afanye na 'practical' yake,yeye ni Kiongozi Mkuu aige mfano wa Julius Malema na sio kulialia daily kwenye mitandao

'Nyerere hakuwaogopa wazungu weupe,tena wasiojua hata kiswahili..'
 
Huyu jamaa aangalie. Hawa watu wasiojulikana wanaweza wakam pyu pyu pyu akawa Akwilinaized.
HAMNA MDA YA KUBISHANA NA WAFU. HUYU NI LONG TIME GONE, KILA MTANZANIA ANAMJUA TABIA YAKE MWACHE ABWABWAJE ANAVYOTAKA, HUYU NI KWISHNEY
 
Back
Top Bottom