Zitto ajilipua, tusimtose

Zitto ajilipua, tusimtose

Huyu jamaa aangalie. Hawa watu wasiojulikana wanaweza wakam pyu pyu pyu akawa Akwilinaized.
Unapokuwa mwanaharakati kwa ajili ya manufaa ya wengi huwezi kuogopa chochote kile, hakuna watu walotafuta haki kwa kushika simu na kupost ila kuingia barabarani kwa vitendo.
 
Unapokuwa mwanaharakati kwa ajili ya manufaa ya wengi huwezi kuogopa chochote kile, hakuna watu walotafuta haki kwa kushika simu na kupost ila kuingia barabarani kwa vitendo.
true that...
 
KURA ndizo kila leo zinaendelea kuiweka CCM madarakani
 
na sisi ndio tunataka wafanye hvyo ..maana wakifnya hivyo watazidi kujichingea zaidi kwa wananchi wao na nchi za kimataifa zitapata kujua kuwa nikweli Tanzania haipo Salama

Aisee kuna tatizo kubwa sana huko bongo
 
So sad for years now Kagame and Museveni are still surviving..!! Na kila udhalimu zitto aliotaja wanafanya..!

Ain't easy guys..!

Mzee wangu always tell me nikitaka kuridhika kwa kila nachotaka nisubiri nikifika mbinguni., so you may guys.!
Madogo hawasikilizi wahenga siku hizi,wanataka kuishi peponi ila kufa hawataki.
 
Nimewahi kusema uongozi huu ndio dhaifu kabisa kwa ushindani wa kisiasa. Na hili limedhihirika kwenye chaguzi mbalimbali za marudi zilizopita. Ni suala la muda tu wananchi waamke. Hapa Zitto kapiga mlemle
Sawa
 
Aisee kuna tatizo kubwa sana huko bongo
Kuna tatizo kubwa na hakuna hata mtu anaweza kulisemea,hapa panahitajika mtu kama Mzee Mwinyi atumie busara alihutubie Taifa kuomba umoja nchi inagawanyika hii.Kuna baadhi ya watu wanadhania Tanzania haiwezi kugawanyika.Polisi pekee hawawezi kuzuia nchi kugawanyika Watanzania wenzangu tatizo ni nini mbona tumeanza kugombana sisi kwa sisi?Mungu ibariki Tanzania
 
Shida ni kwamba Zitto is expendable,
Binafsi ziwezi kumwamini mtu ambaye alishawahi kutumika kuhujumu upinzani kisa tamaa zake binafsi.
uhujumu zaidi ya kukaribisha tulio waita mafisadi na kuwaweka kwenye list of shame?
 
Huyu jamaa aangalie. Hawa watu wasiojulikana wanaweza wakam pyu pyu pyu akawa Akwilinalized.

Mkuu Aspirini

Sio kirahisi hivyo.

Unadhani unaua watu tu,na kibaya zaidi ni mwanasiasa mwenye following na yupo internationally connected.

Mzee huwezi kua kichaa namna hiyo!Hata ukiwa rais ukachukua uamuzi huo,utakua sio mzima kichwani na ita-back fire big time!

Utaua wanasiasa wangapi mzee?

It is just nonsense of the highest order!
 
Back
Top Bottom