AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,069
- 4,299
Mwenzao ananyea debe wao huku wanaleta porojo, Mbowe anatakiwa kua na famia yake muda huu, Chadema waache upuuzi wao Zitto amewazidi.Yaan hawa wapuuzi bora hata MBOWE atoke anaeleweka.
Maana Tangu Mbowe awe ndani haieleweki wanataka nin?