Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,143
- 56,602
Amwage huko alokoandika. Wewe si umescreenshot alichoandika Zitto. Angetoa figures and facts.Ulitaka ripoti nzima ya TISS imwagwe JF.
Amwage huko alokoandika. Wewe si umescreenshot alichoandika Zitto. Angetoa figures and facts.Ulitaka ripoti nzima ya TISS imwagwe JF.
MTASHINDANA LAKINI HAMTASHINDA ..MAGUFULI ATABAKI JUUU SANA 20202 ANAPITA BILA KUPINGWA NA NYIE WABABAISHAJIAisee!!
Nauliza tu!? Tiss wanaitumikia Tanzania "umma" au CCM?
Tunaomba hii Taasisi iwe huru kama Mossad, CIA..... Wasiendelee kuwa kitengo ndani ya ccm!! Hatuwatendei haki watanzania na watumishi wenye weledi ndani ya TISS!!
Uchaguzi gani ulishashindwa au kushinda kabla ya kura kupigwa. Zitto una matatizo siyo bure. Nilikuwaga nakuona wa maana enzi zile tunawaona kwenye ITV mligomaga ili muongezewe bumu some one Mkili akakamatwa. Nakumbuka niliona kwenye TV na Omary na mkaka mmoja mweusi anavaa miwani mnasema Mkili must be free na kweli alitoka celo. Sasa naona umegauka na kuwa vuvuzela tu.
Ndio mana.nikasema viwanda zaidi ya 2,000 pamoja sana mkuluNikusahihishe hapo kwenye viwanda mkuu. Ni viwanda elfu nne (4,000).
Asante!
Aisee!!
Nauliza tu!? Tiss wanaitumikia Tanzania "umma" au CCM?
Tunaomba hii Taasisi iwe huru kama Mossad, CIA..... Wasiendelee kuwa kitengo ndani ya ccm!! Hatuwatendei haki watanzania na watumishi wenye weledi ndani ya TISS!!
Yes, TISS hufanya tafiti sometimes ili wajue hali ya kisiasa nchini na joto lake likoje
HAYO NI MANENO YA MLEVI MMOJABila hata ripoti ya TISS, Magufuli hawezi kushinda chochote kwa haki. Hata historia yake inaonyesha hakuwahi kushinda ubunge kwa haki. Na hata yeye hilo analifahamu ndio maana hataki ushindani wowote uwe wa haki au kinyume chake.
huyu hapana kwa kweli apumzike tu
Magufuli hahitaji hata kampeni. Kishashinda tayari. Zitto alizoea kupewa ma project na DR Dau sasa hayupo tena Dau. Zitto lete data tuone huo utafiti ulifanyika wapi na wapi. Kama Twitter na JF hapo sawa.MTASHINDANA LAKINI HAMTASHINDA ..MAGUFULI ATABAKI JUUU SANA 20202 ANAPITA BILA KUPINGWA NA NYIE WABABAISHAJI
HAYO NI MANENO YA MLEVI MMOJA
Kama nimekuzalia baba au mama yako hapo sawa. 😘😘😘😘😘😘😘.Pole naona mastress yamekujaa mpaka yanamwagika.
Narudia tena yaani kumpigia debe Membe ndo mmenifanya nimpende Magufuli like never before. Sihitaji madaraka.Wewe ndio umegeuka Kuwa msaka madaraka,
kwa mambo makubwa aliyoyafanya hata kusipokuwa na uchaguzi poa tu kwani kuna shida ganihahahaha ameshasema uchaguzi huru na haki, hiyo hata haiitaji report ya TISS we all know. Ila kwa kuwa hakuna uchaguzi huru na wa haki jamaa lazima atapita tu
MTASHINDANA LAKINI HAMTASHINDA ..MAGUFULI ATABAKI JUUU SANA 20202 ANAPITA BILA KUPINGWA NA NYIE WABABAISHAJI
Pro Membe,Membe ndo kakudanganya hivyo?Yes, TISS hufanya tafiti sometimes ili wajue hali ya kisiasa nchini na joto lake likoje
Wasiliana na Kapilimba.Iko wapi hiyo ripoti yenyewe watanzania waione?
Au ni kwaajili ya zito pekee?
Duuh hilo 'kunji' la kitambo kweli.Uchaguzi gani ulishashindwa au kushinda kabla ya kura kupigwa. Zitto una matatizo siyo bure. Nilikuwaga nakuona wa maana enzi zile tunawaona kwenye ITV mligomaga ili muongezewe bumu some one Mkili akakamatwa. Nakumbuka niliona kwenye TV na Omary na mkaka mmoja mweusi anavaa miwani mnasema Mkili must be free na kweli alitoka celo. Sasa naona umegauka na kuwa vuvuzela tu.