Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Vijana wanaohisi kwa kupiga debe tumbo litashiba hawaelewi mambo kama haya! Wengi hawana uwezo wa kupambanua mawazo makubwa kama hayaNi kweli sio sawa kusema kwamba hana vya kuonyesha maana hivyo anavyo. Ila hata makuburu wa Afrika kusini walikuwa na maendeleo ya kuonyesha ambayo hata Magufuli awe rais wa maisha hatayafikia, lakini akina Mandela na wenzake waliwakataa.